We rijamaa una asili ya mura... M2 kakuambia yupo palapale ww unambishia . Cjashangaa sana hata unavyoamin kuwa engineers are only from udsm. Takwimu sahihi nenda pale ERB tz watakupa na ukitaka hata mifano pia. Shida ya ss watz ni kuamini ulichoaminishwa na babu zako. Ndio sawa na wale...
Sio lazima udsm. Tuna vyuo vingi sana tz vyenye zaidi ya hao wataalam unaosema. We hv DIT,MUST,ST. JOSEPH PIA. Kwa hiyo km hao unaowataka hawapo lisikaguliwe eeee..... Ulimbukeni huo. Eti nataka hii sitaki hii
hata mm nina hiyo s2 ss cjui nilichakachuliwa? ina internal memory ya 14gb na ram kama kawa 1gb. nilimuuliza muuzaji akaniambia hizo 2gb zipo ktk application na kuwa huwez ona total yote 16gb. is it true? ila kazi inapiga frsh saana
Leo Nyoni nimeshuhudia akiwa ni sababu ya magoli mawili. 1. La kwanza mabek wa starz walicheza offside trick ila yy alibaki na ndo likawa goli. 2. Alimsindikiza gervinho toka mbaaaali alipofika ndani ya 18 huku akijua lolote litakalofanyika inaweza kuwa penalt, na yy akamsukuma...ila ndo mpira...
Dstv ipo chini ya nani? Mbona naona star tv inarushwa kama premium kwan co FTA tena zaidi ya tbc nayo kifurushi kikikata nayo inapotea. Kwanini hawa dstv wasilazimishwe kuingiza local channels za tanzania ziwe free to air au mnawaogopa? Je kwa nini hamkutoa hiyo elimu kwa wananchi mapema kabla...
Hata tanzania ishinde leo, wakipitisha bakuli la kuchangisha sitathubutu kuchanga hata senti moja kwa sababu hawaoneshi mechi zao. Hapa hakuna maana ya kuwa na wizara ya michezo wala serikali wooote.
Leo hii ilitakiwa kila mtz ajue matokeo kabla ya kulala ila watanzania wamepoteza matumaini na nchi yao na tbc pia, ikikumbukwa kuwa wakati wa mjadala wa bajet wabunge wetu wamepitisha mabilioni ambayo na kodi ya sisi watz ambao tunalipa kwa kila kitu tukitumiacho ili kulinda,uhai wetu, cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.