Kaka hii nchi c ya wakristo kwani hujui?Hata wimbo wataifa pia umeanzia huko!Ucchokijua nikipi.Cndomana Rais anapewa masaa 48! Nikweli mfumo kila mahala.
Subirini hayo arobaini na nane!Mmeyasikia ya Mkapa nayo hoko kwny Jubilee ya 50yr mbona hamsemi amepewa masaa mangap?Ila wazee hamna mshipa wa noma!Haya jamaa ameshatajwa na ametajwa huyo ili watu wajue wapo.Mmekua wadogo kama piritoni. Hv mnahc viongoz wa dini ni malaika au mitume kwamba hawana...
Miji2 yenyewe ni ninyi!wenyewe kila day mnakabana huko!hata mimi ngoja nifate wakwangu akasome botswana mana wa2 wa pouda hamkawii kuwakaba watoto. Hamjapata urais mnatabu hvo.KIUKWEL MWISHO WA CDM Umekaribia. Kunadalili ya kuikata nch vipande vi nne au viwili. Chaga na Meru,christ n islam, na...
Kujisaidia ajisaidie kuku akijisaidia bata ameharisha haya Bwana Raisi we2 mwehu.ila kumbuka haya ni Mawazo tu ila kuomba msada kwa viongoz wa dini ni dharau,kazi zao ni nini hawa viongoz wa dini acheni ubata ninyi! Kama hafai msiwage mnamualika kny Kusimika Maaskofu kwani aliomba huo mualiko...
Ndo mana wanawekwa ndani kwa kashfa zenu hizi!kuikomboa hii nchi itakua kaz sana.MANA MNADHARAU WATU NINYI.DAH 2TAONA MWISHO WA HAYA. Ninyi Mapadre.NGOJENI MUONE WATAKAO IKOMBOA HII NCHI MUDA CO MWINGI SANA.
Asa kama polisi ni mlevi atasema nini zaid ya hzo pumba?! Kumbe CDM Walevi mbona wakiambia madent wa chuo wamegoma wanakwenda?fikir kabla hujauza wazo!
[QaUOTE=mwanaharakat;2057373]Mimi m/kiti wa Kujitolea wa BAVICHA-NGOROX2 nalaani vitendo vyote vya ukiukwaji wa sheria na demokrasia vilivyofanywa na jeshi la CCM la Polisi kwa M/kiti na Naibu katibu mkuu wa CDM. Sasa vijana tufunge mikanda, tupambane na hawa mamluki wa CCM(POLISI).
MY NOTE...
Unajua kwakwel Mahakama ya Kadh haimuhusu m2 yeyote ila 2 kwa ambaye ni Muislam. Uislam ni Mfumo wa Maisha Mwenyez Mungu ametaka 2ishi hapaswi m2 ambaye hataki kuishi katika Mfumo huo kulazimishwa! Kwani kwenye kitabu cha Quran M.Mungu anatuambia "Hakuna kulazimisha katika dini ! Kwani uwongofu...
Nimegundua ki2 kimoja! Watanzania tujenge utamaduni wa kutoa maoni yanayojenga kuliko kuharibu,maranying 2naushabik sana!hebu imagine leo m2 anatoa kashfa kiasi hiki leo kama co mwanao, wewe au ndugu yako ameamua kuja upande ambao huutaki!Je utafanyaje?2MEWAONA WENGI wa Hivyo na viongoz wakubwa...
Dah!jamaa wameji2ngia maandiko yao hawa!hamna ajuaye cku ya kiama isipokua M.Mungu 2,japo prophets of god wanajua kua ipo ila alie watuma ku2fikishia ndo mwenyekujua ila wajo wametuambia major sign of the hour.2fanye 2 ibada kiukweli Mungu yupo na Hyo siku ipo,kama hutaki,hauwez kulazimishwa na...
Najua umekomaa sana ndomana huwa hatujeng utamaduni wa fact and figure, chakueleza ni kwamba homosexual z not monopoly to any reliog kwakua watu wameamua kufanya mambo yao bila kufata vitabu nanikwakua ujinga umewatawala,na yoyote ambaye hafati mafundisho ya mwenyez mungu yani hawana total...
Jama yangu upo saf kwa matus!ona haya ya Anglicana Uk,Italy,HATA PALE KENYA YULE bishop wa Kiitaliano alipo mkamata mwana katibu muktas.na 25% ya Vijana usa ni watu wa maring vp ni Muslim?kuwa makini wewe.
Kwa kanisa nyerere alikua mtakatifu kwakua alikua mstari wa mbele kuipigania katolik na kulilinda kanisa ukitaka kujua haya soma vitabu hv.KANISA KATOLIKI NA SIASA ZA TANZANIA BY padre mkatoliki John Shivalon,pia soma The guardian angel by Anord Besase wa uganda.wacha hii nchi mnasema hamna dini...
Dah kiukweli kutoka uongoz wa dini mpaka urais,kutoka mfanya biashara mpaka mwenyekit wa chama,kutoka ukuu wa Idara(profesor) mpaka mpiga debe wa siasa! wasomi kweli utendaji na ujenz wa Taifa kupitia taaluma kweli haulipi 2jimwageni. CCM,CDM,TLP nk.watu wote wameacha taaluma zao ambazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.