tusipumbazwe akili na siasa kupita kiasi!
ameleta mada km zilivo mada nyngne either ni kuchangia na kuangalia ukwel uliomo kuliko kukashifiana!
kwani uyo dr.slaa kazaliwa bethelehem awe msafi kupita wengne?tucpende kushabikia uchama kwa kila jambo hata km mambo mengne yana umuhimu ndan yake...
kwa ili walilofanya madaktar ni upumbav wa kupindukia ambao cjawah kuuona!
kwa mantiki ya kugoma kwa minajili ya kuishurutisha serikal ni ujinga!uwajibishwaj wa mawazir husika uwachie serikal kwan ndo wenye mamlaka wao waegemee kwenye madai yao ya msingi!hakuna serikal ambayo inaweza kukubal...
hao ni wanachama hai wa ccm!na kila mwanachama ana HAKI ya kusikilizwa pia we cal it NATURAL JUSTICE!wacha wasikilizwe na sekretariat ndio itakayotoa maamuz!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.