Ukikipangusha chumba kwa 50,000 kwa mwez ni hela ndogo sana coz
kujenga room moja mpaka ikamilike ni kati ya M2 hadi M4 unategemea na finishing... pia usisahau garama zingine kama kiwanja kodi ya ardhi, mda wako n.k
Ili ilipe lenga kupata kuanzia 70,000 kwa mwez, room zenye choo ndan ni bora...
Hili WZO NI ZURI,.linaw3za boreshwa:-
Kwasasa vyuo baadhi vina kitengo cha kulea wanafunzi wajariamali, kinachiweza fanyika hawa wajaria mali ambao ni best wamelelewa vizur kwa kipind cha miaka miwili au mmoja, tubaki na vyeti vyao kisha wapewe mkopo wa kuendeleza biashara mara tu wanapo maliza...
Mbinu mpya hii
CHUKUA SIMU HATA NDOGO AMBAYO HUITUMII... ifiche ndani.ya gari mahali pasipojulikana... wakiiba basi watu wa cyber wanai truck simu kirahisi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ukitoa betri au ile fuzi ya powersuply kweli hawataweza kuliwasha ila inakuwa tatizo jingine kwamba hata kibaka akija akivunja kioo haitapiga ata alam n anaweza fungua chochote mfano taa, power window etc
Idea nzur madhani kifunga CAR TRACKING... kama kuna mwenye maujuzi atuambie how it...
Hizi majuzi nimesikia watu watatu ninao wafahamu wameibiwa magari Dodoma. Na jhuu wizi unafanyika kibabe sana, wanakuja nyumbani wanafunga grill zenu kwa kufuli hata mkiamka wakato wanawasha gari msiweze kutoka.
Tena naskia kama una geti la ku slide wanaruka ukuta wanaingia ndani kisha...
Naunga mkono hojaaaaa...
Waziri JAFO ni jembeee... huyu jamaa yuko smart na mtu yeyote unaweza ongea nae tena friendly kabisa... na akisema kitu hasau na anafatilia.
Iko hivi
Hapatakuwa na msongamano, kwanini...
1. zinajengwa ringroad TATU, ya kwanza imeanzia Martin Luther ya pili iko mbele ya soko na.uwanja na ya tatu iko mbele zaid kule mji wa serikal na bado kuna brabara nyingi ambazo zinaingia na kutoka...
mfano ukitokea nala na unaenda stand kuu...
Respect.... aisee andika kitabu kuhusi haya misha yatakupa hela... huwa sisomagi mavitu marefu lakini huu uzi nimeusoma woteee... ni juz nimetoka kuwashauri watu flan kutembelea wafungwa. aisee...
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.