Search results

  1. samito

    Changamoto za biashara ya rejareja (chumba na sebule) na faida zake

    Ukikipangusha chumba kwa 50,000 kwa mwez ni hela ndogo sana coz kujenga room moja mpaka ikamilike ni kati ya M2 hadi M4 unategemea na finishing... pia usisahau garama zingine kama kiwanja kodi ya ardhi, mda wako n.k Ili ilipe lenga kupata kuanzia 70,000 kwa mwez, room zenye choo ndan ni bora...
  2. samito

    Nashauri serikali itoe mikopo kwa wahitimu kupitia HESLB

    Hili WZO NI ZURI,.linaw3za boreshwa:- Kwasasa vyuo baadhi vina kitengo cha kulea wanafunzi wajariamali, kinachiweza fanyika hawa wajaria mali ambao ni best wamelelewa vizur kwa kipind cha miaka miwili au mmoja, tubaki na vyeti vyao kisha wapewe mkopo wa kuendeleza biashara mara tu wanapo maliza...
  3. samito

    Msaada: Naombeni kujua bei ya hii gari inatakiwa kuuza bei gani

    4 - 5 M Sent using Jamii Forums mobile app
  4. samito

    Wizi wa magari Dodoma

    Mbinu mpya hii CHUKUA SIMU HATA NDOGO AMBAYO HUITUMII... ifiche ndani.ya gari mahali pasipojulikana... wakiiba basi watu wa cyber wanai truck simu kirahisi sana Sent using Jamii Forums mobile app
  5. samito

    Wizi wa magari Dodoma

    Tatizo ukitoa betri au ile fuzi ya powersuply kweli hawataweza kuliwasha ila inakuwa tatizo jingine kwamba hata kibaka akija akivunja kioo haitapiga ata alam n anaweza fungua chochote mfano taa, power window etc Idea nzur madhani kifunga CAR TRACKING... kama kuna mwenye maujuzi atuambie how it...
  6. samito

    Wizi wa magari Dodoma

    Hizi majuzi nimesikia watu watatu ninao wafahamu wameibiwa magari Dodoma. Na jhuu wizi unafanyika kibabe sana, wanakuja nyumbani wanafunga grill zenu kwa kufuli hata mkiamka wakato wanawasha gari msiweze kutoka. Tena naskia kama una geti la ku slide wanaruka ukuta wanaingia ndani kisha...
  7. samito

    Jafo ni waziri ni mfano wa kuigwa

    Naunga mkono hojaaaaa... Waziri JAFO ni jembeee... huyu jamaa yuko smart na mtu yeyote unaweza ongea nae tena friendly kabisa... na akisema kitu hasau na anafatilia.
  8. samito

    Namba zinazotumia GB WhatsApp na Yo WhatsApp zafungiwa kutumia Whatsapp

    Nimekula Ban ya dakika 20 imebidi niitoe FM whatsapp ... any sollution nirud kundin maana hii OG whatsapp haina MADOIDO
  9. samito

    Planning ya mji wa Dodoma ni mbovu, mji unaendelezwa zaidi kuelekea upande mmoja wa barabara ya Dodoma kwenda Dar es Salaam

    Iko hivi Hapatakuwa na msongamano, kwanini... 1. zinajengwa ringroad TATU, ya kwanza imeanzia Martin Luther ya pili iko mbele ya soko na.uwanja na ya tatu iko mbele zaid kule mji wa serikal na bado kuna brabara nyingi ambazo zinaingia na kutoka... mfano ukitokea nala na unaenda stand kuu...
  10. samito

    Tuliowahi kukaa gerezani tupeane uzoefu wa mateso, msoto na vimbwanga

    Respect.... aisee andika kitabu kuhusi haya misha yatakupa hela... huwa sisomagi mavitu marefu lakini huu uzi nimeusoma woteee... ni juz nimetoka kuwashauri watu flan kutembelea wafungwa. aisee... Sent using Jamii Forums mobile app
  11. samito

    Barick wameufyata; Hakuna press ya gawio la hisa, report ya fedha, soko la mitaji au maongezi na Tanzania

    dah utanivunja mbavu mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  12. samito

    Mke wangu kakutana na EX wake tukiwa pamoja, kafurahi hakuna mfano!

    Anataka LOSE LOSE situation... wakose wote... dah wanawake bana
  13. samito

    Mafisadi kuhamia CHADEMA?

    dah kwel bana...
  14. samito

    Unawajua watu weusi (waafrica) ndani ya bible?

    nimeipenda hii sred. big up
  15. samito

    Mke wangu hataki kufanya tendo la ndoa

    kuna tatizo zaidi, mkamuone dr otherwise raha ya ndoa haipo hapo
  16. samito

    Uchaguzi 2015: Mzanzibari kugombea Urais kwa tiketi ya CCM

    aliyoyasema #KAKOBE kuhusu mgawanyiko ndani ya sisiem by 2015 ndo yanakaribia au?
  17. samito

    Dr Slaa awa gumzo kwenye msiba wa John Komba

    Hahaaa hata Mimi nimejikuta natabasam huku nikiendelea kusoma...
  18. samito

    Serikali yasitisha mafunzo ya JKT

    Serikal ijipange upya kwa hili, ukata ni kisingizio tu, there is hiden reason nyuma ya hili
Back
Top Bottom