Ni internet ya ofisi kaka,sasa imebanwa kiasi kwamba download speed haivuki 1kb/s,nimejaribu ushauri wako wa pili nao umekwama,kuna haya maswala ya SSH,SOCKS,SIJUI UTAKUWA UNAYAJUA?
Habari zenu wanajamii forum,nahitaji msaada wenu ili nijue ni jinsi gani ntaweza kupata full access ya internet kwani hivi karibuni nimebaniwa access kwa kuwekewa Hotspot,yani nikitaka ku browse internet lazima niingize password na username ndo nianze ku surf,toka hiyo program imewekwa...
Habari wana Jf,kuna software nimeikuta kwenye pc ambayo ime block web browser yeyote kufunguka ili kuweza surf internet,yani huwezi fungua Internet explorer wala firefox wala google chrome,unapotaka fungua hizo browsers ile program ina kwambia "Browser blocked by Browser Lock,if you would like...
Habari ya saizi wana JF,minaombeni msaada kama kuna mtu ambaye anajua jinsi ya ku hack password protected excel file,yani nikwamba kuna files nataka kufungua,ni za excel lakini nashindwa kuona contents kutokana na kwamba zina password,je kuna jinsi ya kuzi unlock,tafadhali naomba nisijibiwe vitu...
Ahsante,swala la internet kutumia sio kweli kwani kuna wateja ambao wanapata wifi for free,kwahiyo nadhani ni mtu alikuja kwenye pc yangu na kuziona zile application letter nlizosahau kudelete na ku report kwa mabosi,any way nime angalia hiyo portable app its really interesting,sasa minlikuwa...
hatutumii hizo za ttcl au bmtl,mimi sio dumb kiasi hicho,nnatumia personal email,yahoo actually,sasa ameniambia kuwa wameziona zote nikashangaa,sina uhakika kama wameziona ila ameniambia bosi mwenyewe,kwani nikituma kwa yahoo hawawezi ziona inamaana,au wameona word docs nilizo save kwenye...
i411,hivi karibuni employer wangu kaniuliza kama niko motivated kufanya kazi hapa ofisini kwake,kumbe ameona all the application emails i've been sending to various companies,sasa nnchotaka kujua,je alipo findout ni kwamba ameona actual emails that i've sent au anachoona ni nini? kwani nimeogopa...
Ahsante kaka,nlishajaribu tactics kibao,actually ni pc ya ofisi,sasa wamebana vitu kama kuinstall na kuchange any settings kama hardware and the rest,sasa mimi nna masoftware kibao nataka kuinstall kama itunes,bittorrent,nashindwa kutokana na kwamba naitumia pc kama user,nadhani umenipata...
Habari ya saizi wana jf,nna shida moja naomba msaada wenu,pc ambayo naitumia ina users waili,administrator na user,sasa mimi naruhusiwa kutumia user ambayo iko restricted,vitu kama ku install programs nashindwa kabisa,ombi langu nikama kuna uwezekano wakuweza kuinstall na uninstall programs kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.