Mbau Group of Companies (T) Ltd, ambayo ni Authorised Distributor wa fuel additive iitwayo Extreme Fuel Treatment (XFT),hii fuel additive hupunguza fuel consumption mpaka asilimia 33 (33%),teknologia hii iliyogundulika mwaka 2008 huko marekani imeshaanza kufanya kazi katika nchi 12 dunia...
Ndugu wanajamiiforum,nimefuatilia kwa kina asasi hii inayojiita Tanzania Loans Society,yafuatayo nimeyabaini:
1. Namba ya simu iliyotolewa kwaajili ya tigopesa ni ya bwana LWEMBO FELIX. Namba hii haipatikani wala haipo kwenye system (Unobtainable)
2.Tanzani Loans Society SIO tawi zawa la...
Gari hii nimetembelea miezi minane na ipo kwenye hali nzuri sana plate namba yake ni BCV.
Kwa yeyote ambaye atakua anahitaji tuwasiliane kwa namba 0715251100.
Bei ni maelewano.
Karibuni.
Wana JF,ninakerwa sana na Chama cha Mapinduzi kupinga kila hoja ya upinzani hata kama hoja hiyo ni ya msingi na tija kwa taifa.......kila jambo na hasa litokalo kwa CHADEMA basi watalivalia njuga na mara nyingine hoja ikiwa ni nzuri kwa taifa hudiriki kusema wao (CCM) ndilo walioiibua na si...
Ili kuonekna serikali inajali "majambazi" wanadilliki kusema wanatoa kifutajasho cha Mil 3.
Huu ni upuuzi wa hali ya juu. Sidhani hata kama Baba R1 anaweza kumpa mwanae hiyo hela...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.