Search results

  1. M

    Dk. Reginald Mengi: Tanzania kuwa nchi ya pato la kati kabla ya 2025 ni Uongo

    Maneno ya Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Dk. Reginald Mengi, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Tanzania Private Sector Foundation (TPSF), kupitia Twitter yake leo: "Kusema gesi itafikisha Tanzania nchi ya PATO LA KATI mwaka 2025 ni UONGO. Acheni kuchezea matarajio (expectations) ya Watanzania. Ombeni radhi"
  2. M

    Escrow: Kijana wa Kitanzania aweka utu wake rehani kuhakikisha CCM haishindi uchaguzi 2015

    Oneni haya mambo hapa. Ni hasira za Escrow au kamchezo kake?
  3. M

    Kura ya maoni ya katiba mpya kufanyika Aprili 30, 2015

    Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Frederick Werema, ametamka rasmi kura ya maoni ya katiba mpya sasa kufanyika Aprili 30, 2015 na siyo Machi 30, 2015 kama ilivyoripotiwa kwenye gazeti la Mwananchi. Rais Kikwete naye amethibitisha kuwa kura ya maoni ni Aprili mwakani. Source: Tanzania to hold...
  4. M

    CHADEMA inafifia, kuchukua dola 2015 ni ndoto. Ipange safu mpya ya uongozi kufufua chama!

    Ni dhahiri kuwa tangu uchaguzi mkuu wa 2010 ambapo CHADEMA ilifika kilele cha umaarufu wake na kozoa wabunge wengi, sasa chama hiki kikuu cha upinzani kimezorota. Hii inatokana na mambo mengi, ikiwemo mgogoro wa uongozi wa ndani ya chama, kupwaya kwa Katibu Mkuu Dk. Wilbrod Slaa na M'kiti...
  5. M

    Rais Kikwete ahutubia taifa leo kutoka Dodoma!

    THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.com Website : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425 PRESIDENT'S OFFICE, STATE HOUSE...
  6. M

    Tetesi: Malengo ya Lowassa 2015 haya hapa!

    Edward Lowassa, waziri mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya ufisadi wa Richmond bado anautaka Urais 2015 kwa bei yoyote ile, licha ya kuchafuka vibaya kimaadili, hii ni kwa mujibu wa vyanzo ndani ya CCM. Akishindwa kuupata Urais, yuko radhi awe "kingmaker" aweke watu wake ili apate nafasi...
  7. M

    EAC row: Kenya, Uganda, Rwanda 'cowboys' must hold their horses -- THISDAY editorial

    EAC row: Kenya, Uganda, Rwanda 'cowboys' must hold their horses President Jakaya Kikwete last week delivered a powerful speech in Parliament on the state of affairs in the troubled East African Community (EAC). Kikwete's address to the nation via Bunge came as the presidents of Kenya...
  8. M

    CNN: Kenya inaongoza kwa matumizi ya ICT, Tanzania kwa uchawi!

    Errol Barnett, mtangazaji wa CNN anafanya vipindi kutoka nchi mbalimbali za Afrika. Juzi alitoa kipinfi kuwa Kenya inaongoza kwa matumizi ya computer na Internet barani Afrika. Sasa hivi naangalia kipindi hicho CNN kinasema Tanzania inaongoza kwa imani za uchawi duniani kutokana na utafiti wa...
  9. M

    Kagame akaa hoteli ya sh milioni 30 kwa siku New York, Kikwete je?

    Rais Paul Kagame wa Rwanda, ambaye amekuwa akisifiwa kwa uongozi thabiti na kuiendesha nchi vizuri kuliko Tanzania, sasa inaelekea ameanza kulewa sifa baada ya kufanya vituko huko New York. Kagame ameripotiwa kulala kwenye hoteli ya kifahari ambapo gharama ya rum (chumba) ni takribani...
  10. M

    Tanzania inflation hits 14.1 pct in August

    Tanzania inflation rises to 14.1 pct in August DAR ES SALAAM Tanzania’s inflation rose for the tenth consecutive month in August driven by higher food and energy costs, the statistics office said on Thursday. The year-on-year inflation in east Africa’s second-biggest economy jumped to 14.1...
Back
Top Bottom