Search results

  1. M

    Ijumaa Kuu ya Pasaka nimeona jamaa wanatafuna nyama, tena 'mdudu'

    Nadhani kutokula nyama Ijumaa kuu ni mapokeo ya kidini ambayo yamezoeleka lakini katazo halipo kwenye Biblia
  2. M

    TV ipi nzuri? Sony, SamSung au Hisense ya Startimes?

    Ubora bado upo hivi au umebadilika?
  3. M

    Kuna dada kaniambia "I love you"

    Kama ni ofisini mbona ni maneno ya kawaida kuambiwa Sent using Jamii Forums mobile app
  4. M

    Coronavirus: Rais Magufuli awaomba Watanzania kumuomba Mungu kwa siku tatu

    Ambao hawana dini watapiga kimya, wenye dini wataomba. Haijawahi na haitatokea binadamu wote wakalingana mawazo. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    SUMATRA mnafeli wapi? Nauli Ubungo hazikamatiki

    Siku hizi hakuna SUMATRA ni LATRA Sent using Jamii Forums mobile app
  6. M

    Kwa nini kadi za bank zina expire date na za simu(sim card) hazina?

    Kuna kadi ya tigo niliitumia muda mrefu sana Zaidi ya miaka kumi baadaye ikagoma kufanya kazi kupeleka tigo nikaambiwa muda wake wa matumizi umeisha nikapewa nyingine.
  7. M

    Wazazi walaumiwe kuporomoka maadili ya watoto

    Wengine wanalelewa vizuri na wazazi wao ila jamii inayowazunguka inaweza kuchangia kutokuwa na tabia nzuri.
  8. M

    Mjadala: Je, ni siku zipi ambazo mwanamke huweza kupata ujauzito katika mzunguko wake wa kila mwezi?

    Mbona kuna applications nyingi playstore kama vile period calendar, cycle tracker na clue period tracker zinaonesha siku salama na za hatari.
  9. M

    Bodi ya Mikopo kuwafikisha Mahakamani wadaiwa sugu 142,470 kama wakishindwa kulipa ndani ya siku 30

    Mbona wametoa majina bila kuonesha viwango vya madeni kwa kila mdaiwa.
  10. M

    emmanuel tv haipo hewani!

    Ilikuwa inaonekana kupitia tv binafsi ya muvi ambayo imefungiwa na Serikali ya Zambia kutokana na mambo ya kisiasa
  11. M

    Katika maisha unatakiwa kujua mwanao baadaye anakuja kuwa nani?

    Kwanini isiwe Mlinzi, Polisi au Mwanajeshi?
  12. M

    Bodi ya Mikopo yatangaza majina 1,091 ya wadaiwa (Awamu ya kwanza)

    Nilikuwa natuma email kwenye info@heslb.go.tz kuulizia status yangu napewa mrejesho kwamba mailbox yao is full kwahiyo yangu haukuwa delivered. Wajitahidi basi kupunguza inbox yao meseji zetu ziweze kuwafikia.
  13. M

    CRDB Bank na bank nyingine igeni NMB Bank kwa hili

    Unapobadili sim card kwa ku swap inabidi kwa baadhi ya bank ikiwepo crdb bank kwenda kwenye tawi la bank husika na kujaza fomu ili ku activate huduma ya simbanking ambapo kwa bank ya NMB hali ni tofauti ambapo kazi hiyo unaweza kuifanya mwenyewe kupitia kwenye ATM za Bank ya NMB. Ninashauri bank...
  14. M

    Azam TV acheni ubabaishaji

    Walisema kitarudiwa pia saa moja usiku leo, wasipoonesha na muda huo kutakuwa na walakini.
  15. M

    Makanisa yafanye ibada siku ya Jumamosi tarehe 24 Oktoba badala ya 25 Oktoba

    Kutokana na uchaguzi mkuu wa Rais, Ubunge na Madiwani kutarajiwa kufanyika siku ya tarehe 25/10/2015 ambayo ni siku ya jumapili . Ni busara makanisa kama inawezekana wakubaliane kufanya ibada siku ya Jumamosi ya tarehe 24/10/2015 ili kuwapa waumini wao nafasi ya kupiga kura kwa ufasaha siku ya...
  16. M

    Mkapa na Lowassa walivyomzunguka JK na kumtupa Membe

    Nenda ukasome Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa TZ za mtu mwenye sifa za kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu. Ni lazima atoke kwenye chama kilichopata wabunge wengi na awe amechaguliwa kwenye jimbo la uchaguzi. Wabunge wa viti maalum au walioteuliwa Rais hawana sifa hizo isipokuwa uwaziri wa kawaida au...
  17. M

    Ipe maneno hii picha

    Mhaya wa marekani.
  18. M

    Je, ni kweli kwamba mtu mwenye damu group 'O' hapati UKIMWI?

    Ni vizuri madaktari watoe ufafanuzi.
Back
Top Bottom