wahenga wa jukwaa hili nina shida moja nahitaji msaada wanu.
leo nina game moja ya mchangani na nimeikamia sana.
nataka kuongeza nguvu kidogo ili nipige round za kutosha.
ni wapi naweza pata viagra kwenye jiji hli lisilo na mkuu wa mkoa?
na gharama zake zipoje.
kama zipo za asili na zimekaa poa...
Raia acheni basi hizo mambo za kujadili neno kwa neno.
Atakuja mchangiaji atasema ulitakiwa kuweka nukta badala ya mkato.
Nia yangu ni kupata mchumba ila sijasema kuwa nikipata mchumba naondoka Jf.
Cant you reserve your negative opinions?
Nawasalimu ktk Jina la Yesu Mwana wa Mungu alie hai.
Nimekuwa mpenzi wa Jf kwa muda sasa na nimeamua kujiunga ili nitafute mwandani wa maisha kupitia jamvi hili.
Nina umri wa miaka 28 na nina elimu ya chuo kikuu.
tafadhali sana kama kuna binti alie single naomba anitumie ujumbe mfupi.
Sifa kuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.