Search results

  1. the galaxy a

    Msaada wa kazi au shughuli yoyote, nipo Dodoma

    Habari, Kama kichwa kinavyo sema hapo juu, mimi ni kijana nina miaka 26 elimu ya stashada ya maendeleo ya jamii kwetu ni mtwara kwasasa nipo Dodoma, Ujuzi nilio nao tofauti na elimu yangu: . Ujuzi wa computer hasa exel,word na publisher . Saluni ya kiume(kunyoa) . Kuandaa miradi, nipo hapa...
  2. the galaxy a

    Msaada kuhama kambi ya JKT

    Ndio kama wapo watanisaidia
  3. the galaxy a

    Msaada kuhama kambi ya JKT

    Habarini wakubwa,kama kichwa cha habari kinavosema hapo juu najua kuna watu tofauti humu ndani wanaweza kutoa msaada, nina mdogo wangu ambaye nilimpambania aingie JKT na sasa anakaribia kumaliza mkataba wake na hitaji lake kuu ni kuhamia kambi ya JKT makutopora ambayo ina chuo cha ufundi ili...
  4. the galaxy a

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    We umeliona wapi me nimeangalia hapa [emoji117] www.jkt.go.tz na hamna hicho kitu Sent using Jamii Forums mobile app
  5. the galaxy a

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    Acha uongo basi hilo tangazo sio official mana official lazima liwekwe kwenye tovuti yao Sent using Jamii Forums mobile app
  6. the galaxy a

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    Acha kudanganya watu Sent using Jamii Forums mobile app
  7. the galaxy a

    TAMISEMI yatangaza Nafasi za kazi 4549 kwa Walimu wa Shule za Msingi na Sekondari

    Haka kauzi ndo kana trend kwenye jukwaa saizi[emoji38] Sent using Jamii Forums mobile app
  8. the galaxy a

    Ninahitaji kazi yoyote Iringa,au sehemu yoyote tanzania

    Sent using Jamii Forums mobile app
  9. the galaxy a

    Mauaji ya mwanamke wa Isdal

    Yuko wap huyu Sent using Jamii Forums mobile app
  10. the galaxy a

    Tupeane Updates za Ajira za JKT kwa mwaka 2019 hapa

    Ila? Maana kuna mujibu wa sheria wanaotokea A level na kujitolea wanatokea mtaani, hao unaosemea wewe walienda kwa mujibu upi Sent using Jamii Forums mobile app
  11. the galaxy a

    Tupeane Updates za Ajira za JKT kwa mwaka 2019 hapa

    Yaah hamna namna bt hawarudi watupu kuna vitu wanagain ndo mana inaitwa kujitolea Sent using Jamii Forums mobile app
  12. the galaxy a

    Shahada baada ya stashahada: Angalizo kwa waliomaliza kidato cha nne

    Hiyo NVA level iii ni ipi mkuu au unaipataje Sent using Jamii Forums mobile app
  13. the galaxy a

    Tupeane Updates za Ajira za JKT kwa mwaka 2019 hapa

    Mkataba ni miaka miwili ile miezi sita ni mafunzo ya kijeshi Sent using Jamii Forums mobile app
  14. the galaxy a

    Natafuta kazi, nina Astashahada ya Community Development

    Mkuu mimi lugha ipo nina diploma ya community development Sent using Jamii Forums mobile app
  15. the galaxy a

    Mshahara wa internal affairs officer

    Kama umehakikishiwa nafasi yako ipo tuu waulizie kabisa na mshahara wako haohao[emoji6] Sent using Jamii Forums mobile app
  16. the galaxy a

    Riwaya: Ukurasa wa gaidi

    Duuh hongera mkuu mana kama naangalia mission imposible vile Sent using Jamii Forums mobile app
  17. the galaxy a

    Tupeane Updates za Ajira za JKT kwa mwaka 2019 hapa

    Yaah bado mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  18. the galaxy a

    Tupeane Updates za Ajira za JKT kwa mwaka 2019 hapa

    Sio kazi, ni kujitolea Sent using Jamii Forums mobile app
  19. the galaxy a

    Tupeane Updates za Ajira za JKT kwa mwaka 2019 hapa

    Inaeleweka jkt haiajiri ila lengo la uzi ni kupeana tuu taarifa zitatoka lini hizo nafasi sio ushauri Sent using Jamii Forums mobile app
  20. the galaxy a

    Tupeane Updates za Ajira za JKT kwa mwaka 2019 hapa

    Mods washabadirisha tittle. Mods ni nafasi za kujiunga JKT kwa tulio mtaani sio ajira wekeni sawa tafadhari Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom