Inategemea na hao wataalamu wamefanyaje hiyo operation lakini kiukweli ukichezea vizu huna tena uzima ndugu yangu, omba yasikukute wengine wamepata vilema vya maisha Kwa hizo operations
Mkuu kabla hujaendelea nataka nikuunge mkono juu ya uwamuzi uliouchukua kwa huyo sister, ni uwamuzi WA busara Sana, suala LA hospital binafsi kulazimisha wanawake wajifungue kwa operation liko nchi nzima, nimeshuhudia mshkaji wangu akifanyiwa hivyo kwa mke wake, siungi mkono madaktari...
Unajua pepo ipo na kila mtu anajua afanye Nini Ili aingie peponi, lakini Cha kushangaza ni wachache tu ndio hufanikiwa, Mimi pia mademu hawanitaki, lakini Mimi ninachukulia tofauti na wewe, Mimi hunichukulia Mimi ndio pepo na wanawake ni waumini ambao wanataka waingie peponi, kwa hiyo wale wote...
Account sio ngumu kwenye simple accounting theories lakini ukifika kwenye mambo ya liquidity theories, huko ndani ndani huko kwenye ma formula magumu utajua hujuwi, Ili account uiweze unatakiwa kichwa chako kitulie kama maji ya kwenye mtungi, Mimi kilichonisaidia account nilikuwa nasoma kuelewa...
Mkuu ulisomea degree business administration, masters business administration huoni kusoma cpa ni ngumu sana kwa mtu aliekuwa Hana concrete knowledge ya accounting? Maana hata Hao waliosoma accounting wanaiogopa cpa, mimi mwenyewe nilisomea tax management degree na masomo ya accounting na tax...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.