peoplez power haita pitwa na wakati,napendekeza kipind hiki itumike hamia CHADEMA sbb mpaka mwez wa 9 mwaka huu tutashuhudia wengi sana wakihamia chadema.
Nimekusoma mkuu,lakini kwa kipind hiki ningependa waitumie hiyo sabab peoples power ni kauli ambayo itadumu daima.kwa kipind hik cha m4c watumie 'hamia CHADEMA.
Habari wana jf,napendekeza kauli mpya hii waitumie chadema,ninaimani itavuta sana watu kutoka pande zote za nchi.napendekeza chadema watembee nchi nzima kueneza kauli hii mpaka vijijini huku wakifungua matawi kwa fujo ninaamini tutapata wanachama wengi sana.badala ya hamia airtel napendekeza iwe...
Kweli CCM hawana chao mwanza,hadi wameamua kwenda vijijini kusomba watu vijijini toka jana mpaka leo nimeshuhudia malori km 200 na vigari vidogo vidogo kibao,kweli hali ni mbaya sana,nimesikia gunia 100 za mchele zimeletwa na lifuso,na ng'ombe km 70 zitachinjwa. My take kwanini hawa watu...
Duh! Sante sana mkuu, bt je km ur fresh frm chuo na hujapata experiene na field hukuenda je? Kwny cv utaandika kitu gani sasa? Duh kila sehem experience experience wakati ht selikali haikutupa field cjui 2takua wagen wa nani! Au 2anzishe biashara tu? Mungu atusaidie na hii elim fake ya bongo
Nimeckia mda mfupi kutoka radio free kwny kipind cha darubini ya leo kuwa watu walikua km 65 na walookolewa ni km 15,walobak wote wameteketea kwa moto.polen sana wafiwa kwa msiba huu mkubwa,Mungu azilaze roho za marehemu mahala pema peponi amina.
Dk Slaa angara urais
Send to a friend
Wednesday, 03 August 2011 23:11
1diggdiggNI IWAPO UCHAGUZI MKUU UNGEFANYIKA SASA ANGESHINDA.
Leon Bahati
MATOKEO ya utafiti uliofanywa na Taasisi ya Synovate yanaonyesha kwamba iwapo Rais Jakaya Kikwete angeamua kujiweka kando na ukaitishwa...
Wana jf nimeskiliza kwa makin sana mdahalo ulolushwa na star tv,bt kuna mambo kadhaa yalonifanya nimwite ndugai mnafiki km ifuatavyo:a)badala ya kujadili masuala ya kitaifa au mambo yalokua yanahitaj kujadiliwa matokeo yake kaanza kuingilia mambo ya chadema eti chadema msiwatishe madiwani,pia...
Cuf ni wapumbaf sana kwnz wao ndo waling'ang'aniza kuingia kwny kamb ya upinzan wakidhan wataua upinzan kupitia mkakat wao na magamba.bt wameona chadema na nccr wako moto wanadeclare kujitoa waondoke haraka sn wapumbaf wamezoea kugongwa na magamba wanafurahia,wanaudh sn ila mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.