Wanajamii habari zenu,
Namtafutia mdogo wangu nyumba ya kupanga Mkoani Mbeya iwe maeneo ya Sae, forest Iramba au Mjini yenye iwe self contained yenye chumba cha kulala, sebule, jiko na choo iwe kwenye hali nzuri ya usafi na iwe ndani ya fence.
Naomba msaada
natafuta mbao kwa ajili ya kuezekea nyumba yangu 2 *2 na 4*4 pamoja na mabati ya rangi kama ya vigae ambae ana bidhaa original atume bei fasta maana niko likizo kwa ajili ya kazi hii
HiVI mnajua inawezekana mfano elimu kwa wote hasa wasio na ajira waweze kujiajiri,wenyebiashara na wasionazo waweze kufanya vizuri elimu inawezekana jifunze uone fursa zilizopo bongo someni taarifa badala ya kuahangaika na application miaka nenda miaka rudi yaani mpaka unabadilika na unakua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.