Ijue agenda ya mzungu na mpango wa agenda 21 chini ya usimazi wa UN kwa mwavuli wa WHO na huu ndio uelewa kuhusu chapa ya mnyama 666 na microchips.
Ila kiukweli adui wetu ni illuminati watendao kazi chini ya mwavuli wao NWO walio na agenda lukuki na agenda hizi ndio walioainisha kuanza nazo...
Kwa ujinga wa utovu wa ukomavu wa kisiasa Tanzania yetu hatuja komaa kumpa raisi mamlaka kubwa bali mamlaka hii inatakiwa kugawanywa kwa miimili stahiki kuileta haki.
Je wawajua waovu chimbuko la uovu duniani?
Ni jamii siri ya Jamaa nyingi za siri wa wazao uovu Kwa kujinufaisha binafsi. Jamii hizi zipo nyingi mno ila pia sio zote zenye mipango ya kutumia vibaya usiri wa jamii zao siri yaani secret societies,Kwani wapo wenye nia nzuri tuu ila shida huja pale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.