Mchambuzi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2007
- 4,850
- 9,405
- Thread starter
- #81
Chichanga,
Asante kwa mchango wako katika bandiko namba 68. Umezungumza masuala mengi ya msingi. Nilichoelewa ni kwamba tujaribu kufikiria Urais kama ni Kiti, sio Mtu, huku tukiweka jitiaha katika maeneo mawili makuu- kwanza kuhakikisha kwamba tunapata mtu anayefaa, lakini pili, kujiandaa kuwa na mtu ambae hatopendwa na pande zote za jamii, assuming kwamba hili litatokana na juhudi zake za kufanya maamuzi magumu kwa maslahi ya Taifa, sio familia, marafii zake au wafanyabiashara na wageni kwa nia ya kujilimbikizia ten percent. Kama nimekosea katiak kukuelewa, naomba unirekebishe.
Nikija kwenye hoja yangu ambayo ndio ya msingi, unasema kwamba nanukuu:
Kwa maana nyingine hapa, unajadili kwamba – "power in the right hands is good and indeed necessary for a young state like Tanzania." Katika mjadala wa awali uliohusiana na hoja ya Balozi Sefue kwamba kuondoa madaraka ya rais ni hatari kwa usalama, amani na mshikamano wa taifa letu, tulijadili sana suala hili lakini zaidi kwa kujikita zaidi katika mjadaka wa Muktadha (Context) ambayo madaraka ya rais yanahitajika kutumika. Kulikuwa na pande mbili za hoja – upande mmoja ukijadili kwamba Tanzania kama Taifa bado ni change hivyo tunahitaji kumwachia Rais madaraka mengi Kikatiba ili afanye kazi yake kama head of state and government kwa ufanisi zaidi; Upande wa pili wa hoja ulipingana na hili kwa hoja kwamba – hatuna good experience na nguvu hii ya rais kikatiba kwani imekuwa abused, lakini pia kwamba pamoja na umuhimu wa hoja ya kuacha nguvu za rais kikatiba zibaki kama zilivyo, its too risky kuacha katiba impe nguvu rais kwa matumaini kwamba siku moja tutapata rais anayefanani ana Nyerere;
Kundi hili la hoja pia lilijenga hoja kwamba Tanzania sio Taifa Changa kwani tumekuwa huru kwa miaka zaidi ya hamsini na wenzetu ambao walipata uhuru miaka ya sitini kama south korea, Singapore n.k, wamepiga hatua kubwa, kwahiyo tusitumie uchanga wa taifa kama kisingizio kwanini hatujasonga mbele. Katika moja ya majibu yangu, nilieleza juu y aumuhimu wa kutofautisha baina ya STATE na GOVERNMENT, kwamba ni kweli tumekomaa katika kuunda GOVERNMENTS lakini katika kuunda STATE, bado tupo wachanga kwani 1961 – 1966, tulikuwa a PARTY STATE, tukaona haifai, hivyo 1967 – 1985 tukawa a DEVELOPMENTAL STATE, nayo ikaonekana kwamba haifai, hivyo tangia 1986 hadi sasa, tumekuwa a CONTRACTING STATE kwa maana ya kwamba the state has been contracting huku market ikiwa ina expand na kuchukua sehemu kubwa ya uendeshaji wa shughuli za kiuchumi na kijamii. Katika kujibu hoja kuhusu jinsi gani mifano ya nchi kama Singapore na sisi sio mizuri, nilisema kwamba weneztu walipanga na kuchagua na kuwa consistent na walichochagua kwa miaka zaidi ya hamsini sasa, kwahiyo ni sahihikusema kwamba wamekomaa as STATES, lakini sisi kama nilivyojadili hapo juu, tumekuwa ni watu wa kufanya majaribio as a STATE i.e. 1961 – 1966 a PARTY STATE, 1967 – 1985 a DEVELOPMENTAL STATE na 1986 hadi sasa (2013), a CONTRACTING STATE.
Ukitazama kwa makini, ingawa Katiba yetu leo inasema sisi ni Taifa la kijamaa kiuchumi na kijamii, as a STATE, tumekuwa chini ya mfumo wa kibepari na soko huria kwa muda mrefu kuliko mfumo wa Ujamaa i.e. Mfumo wa ubepari 1961 to 1966 PLUS 1986 to 2013 ni jumla ya miaka 32, huku Ujamaa ikiwa ni miaka kumi na nane tu i.e. 1967 – 1985. Ni katika hili nimekuwa nasubiria majibu ya swali la jingalafalsafa kwa wachangiaji kule kwamba je, as a state, tumekomaa katika kipi?
Nikirudi kwenye quote yako hapo juu kwamba
Mwisho ningependa kusikia kwa undani ni masual again ambayo kwa mtazamo wako ni ya msingi na hivyo katika Katiba Mpya, yabakie chini ya mamlaka ya Rais kama ilivyo chini ya Katiba ya sasa (ya 1977).
Cc: nguruvi3, EMT, kichuguu, jingalafalsafa, jounegwalu, bongolander, Raia Fulani, Jasusi, JokaKuu…
Asante kwa mchango wako katika bandiko namba 68. Umezungumza masuala mengi ya msingi. Nilichoelewa ni kwamba tujaribu kufikiria Urais kama ni Kiti, sio Mtu, huku tukiweka jitiaha katika maeneo mawili makuu- kwanza kuhakikisha kwamba tunapata mtu anayefaa, lakini pili, kujiandaa kuwa na mtu ambae hatopendwa na pande zote za jamii, assuming kwamba hili litatokana na juhudi zake za kufanya maamuzi magumu kwa maslahi ya Taifa, sio familia, marafii zake au wafanyabiashara na wageni kwa nia ya kujilimbikizia ten percent. Kama nimekosea katiak kukuelewa, naomba unirekebishe.
Nikija kwenye hoja yangu ambayo ndio ya msingi, unasema kwamba nanukuu:
rai yangu,madaraka ya rais yabaki kama yalivyo katika yale mambo ya msingi sana kwa nchi yetu.
Kwa maana nyingine hapa, unajadili kwamba – "power in the right hands is good and indeed necessary for a young state like Tanzania." Katika mjadala wa awali uliohusiana na hoja ya Balozi Sefue kwamba kuondoa madaraka ya rais ni hatari kwa usalama, amani na mshikamano wa taifa letu, tulijadili sana suala hili lakini zaidi kwa kujikita zaidi katika mjadaka wa Muktadha (Context) ambayo madaraka ya rais yanahitajika kutumika. Kulikuwa na pande mbili za hoja – upande mmoja ukijadili kwamba Tanzania kama Taifa bado ni change hivyo tunahitaji kumwachia Rais madaraka mengi Kikatiba ili afanye kazi yake kama head of state and government kwa ufanisi zaidi; Upande wa pili wa hoja ulipingana na hili kwa hoja kwamba – hatuna good experience na nguvu hii ya rais kikatiba kwani imekuwa abused, lakini pia kwamba pamoja na umuhimu wa hoja ya kuacha nguvu za rais kikatiba zibaki kama zilivyo, its too risky kuacha katiba impe nguvu rais kwa matumaini kwamba siku moja tutapata rais anayefanani ana Nyerere;
Kundi hili la hoja pia lilijenga hoja kwamba Tanzania sio Taifa Changa kwani tumekuwa huru kwa miaka zaidi ya hamsini na wenzetu ambao walipata uhuru miaka ya sitini kama south korea, Singapore n.k, wamepiga hatua kubwa, kwahiyo tusitumie uchanga wa taifa kama kisingizio kwanini hatujasonga mbele. Katika moja ya majibu yangu, nilieleza juu y aumuhimu wa kutofautisha baina ya STATE na GOVERNMENT, kwamba ni kweli tumekomaa katika kuunda GOVERNMENTS lakini katika kuunda STATE, bado tupo wachanga kwani 1961 – 1966, tulikuwa a PARTY STATE, tukaona haifai, hivyo 1967 – 1985 tukawa a DEVELOPMENTAL STATE, nayo ikaonekana kwamba haifai, hivyo tangia 1986 hadi sasa, tumekuwa a CONTRACTING STATE kwa maana ya kwamba the state has been contracting huku market ikiwa ina expand na kuchukua sehemu kubwa ya uendeshaji wa shughuli za kiuchumi na kijamii. Katika kujibu hoja kuhusu jinsi gani mifano ya nchi kama Singapore na sisi sio mizuri, nilisema kwamba weneztu walipanga na kuchagua na kuwa consistent na walichochagua kwa miaka zaidi ya hamsini sasa, kwahiyo ni sahihikusema kwamba wamekomaa as STATES, lakini sisi kama nilivyojadili hapo juu, tumekuwa ni watu wa kufanya majaribio as a STATE i.e. 1961 – 1966 a PARTY STATE, 1967 – 1985 a DEVELOPMENTAL STATE na 1986 hadi sasa (2013), a CONTRACTING STATE.
Ukitazama kwa makini, ingawa Katiba yetu leo inasema sisi ni Taifa la kijamaa kiuchumi na kijamii, as a STATE, tumekuwa chini ya mfumo wa kibepari na soko huria kwa muda mrefu kuliko mfumo wa Ujamaa i.e. Mfumo wa ubepari 1961 to 1966 PLUS 1986 to 2013 ni jumla ya miaka 32, huku Ujamaa ikiwa ni miaka kumi na nane tu i.e. 1967 – 1985. Ni katika hili nimekuwa nasubiria majibu ya swali la jingalafalsafa kwa wachangiaji kule kwamba je, as a state, tumekomaa katika kipi?
Nikirudi kwenye quote yako hapo juu kwamba
Nadhani tutanufaika zaidi na mjadala huu kuhusu content za kuacha na kupunguza iwapo tutazingatia muktadha husika, sio kwa mazingira ya nyumbani tu bali mfumo mzima wa kimataifa wa ubepari pamoja na dunia ya sasa ya utandawazi.rai yangu,madaraka ya rais yabaki kama yalivyo katika yale mambo ya msingi sana kwa nchi yetu.
Mwisho ningependa kusikia kwa undani ni masual again ambayo kwa mtazamo wako ni ya msingi na hivyo katika Katiba Mpya, yabakie chini ya mamlaka ya Rais kama ilivyo chini ya Katiba ya sasa (ya 1977).
Cc: nguruvi3, EMT, kichuguu, jingalafalsafa, jounegwalu, bongolander, Raia Fulani, Jasusi, JokaKuu…