Leo tarehe 18/10/2016 usafiri kwa kutumia mabasi ya mwendo kasi ni heri daladala mara elfu moja. unasubiri gari kwa saa moja kituoni wakati kwa daladala hata ijae kiasi gani itachukua dakika kadhaa inakuja kama ni kubanana sawa tu unasonga mbele.
Hivi hao viongozi wa UDART mnajua mnalopaswa...
Wataalam wa aerodromes wanifahamishe kuwa hii sentensi inamaanisha nini hasa hapo red:
''Upanuzi wa uwanja wa ndege wa Dodoma unahusisha njia ya kuruka na kutua kwa ndege, yenye urefu wa kilometa 2.5 na mita 500 za taa za kuongozea ndege na usalama wa kuruka kwa ndege'' Je inasaidia nini...
Wadau naomba kupata gharama za kuchimba kisima urefu wa metre 200. Je ni kampuni gani nzuri na bei zao na inachukua mda gani. eneo la kuchimba ni Arusha kwa Morombo na Kigamboni Dar es salaam. It is a serious business guys
A very good night to you friends
Kindest regards
Mgariga
Wakuu wote salamu zenu jamani....
Nina Camera yangu aina ya Canon imepata Mushkeli kama ifuatavyo:
1. Niki-zoom ili kupiga picha ya mbali....inatoka nyeupeeeee hakuna image ikumbukwe hapo awali nilikuwa nazoom na napata picha nzuri na angavu kutoka mbali (x14 zoom)
2. Sasa hata nikwasha screen...
Wito wangu hapa kumezuka katabia wa kuomba wapenzi utadhani wapo serious kumbe matapeli wakubwa tena sijui washamba m2 hata humjui ushaanza kumbom mizinga mara mtoto anaumwa sijui bebiii sijasuka nina mwezi mara viatu vinanibana hivi kabla hujamjua huyo uliye mpata hapa jamiii ulikua huna chanzo...
Sifa za mdada nimtakaye:
= awe ana umri wa 29 backwards
=elimu at least form four
=Rangi yoyote ya asili yake
=dini: mkristo
=Kabila: lolote
=Tabia njema ana mpenda ndugu zangu na nduguze kwa usawa.
=asiwe mnene saana( umbo halijalishi)
=afya: must be healthy
=asiwe mtu anaye-complicate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.