Mgariga
Senior Member
- Apr 1, 2011
- 178
- 62
Wataalam wa aerodromes wanifahamishe kuwa hii sentensi inamaanisha nini hasa hapo red:
''Upanuzi wa uwanja wa ndege wa Dodoma unahusisha njia ya kuruka na kutua kwa ndege, yenye urefu wa kilometa 2.5 na mita 500 za taa za kuongozea ndege na usalama wa kuruka kwa ndege'' Je inasaidia nini kuweka taa i hope anamaanisha za kwenye floor ya uwanja kuongozea ndege usiku only meter 500 kati ya 2.5km. Wakuu niambieni kama ina make sense hii, hapo highlited in red, asanteniiiiiiii
''Upanuzi wa uwanja wa ndege wa Dodoma unahusisha njia ya kuruka na kutua kwa ndege, yenye urefu wa kilometa 2.5 na mita 500 za taa za kuongozea ndege na usalama wa kuruka kwa ndege'' Je inasaidia nini kuweka taa i hope anamaanisha za kwenye floor ya uwanja kuongozea ndege usiku only meter 500 kati ya 2.5km. Wakuu niambieni kama ina make sense hii, hapo highlited in red, asanteniiiiiiii