Ni jambo lililo wazi kabisa kwa watanzania wengi ni wavivu sana kusoma, hivyo ni vigumu sana kwa wananchi kusoma na kuitolea maamuzi katiba pendekezwa, hivyo kutawafanya waitolee maamuzi ya kura kwa ushawishi wa kisiasa zaidi bila kujua ubora au ubaya wa katiba hiyo.
Hivyo nimegundua...
Dogo kaolewa na mama wa miaka 52 dogo ana miaka 21 anasema amempenda kutokana na utajiri alio nao mama huyo na ndo maana akafikiria ugumu wa maisha ya sasa akaona bora niolewe tu, hata kama watu watanidharau na kunibeza hiyo haijalishi nitaolewa tu. Je? Wewe ungependa kumshauri nini dogo? Nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.