Baada ya babu kugundua wateja wake wanakunywa dawa na wanakufa kila sekunde wanakufa zaidi ya wagonjwa wawili akaaga kwenda kilio ya mtoto wake ,kumbe ni gear ya kwenda uingerezd
Wachungaji wa makanisa tuiombe tanzania imevamiwa manabi wa nguvu za giza ,cha kushangaza wanafanyakazi kwa bidi na matawi yao yamenza kusamba ususani tabora ,mbeya ,arusha na sehemu zingine nyingi ni sikitiko
Hivi karibuni serikali ya Sweden ilitoa mabilioni ya fedha kwa serikali ya Tz kwa ajili ya umeme vijijini lakini mpaka sasa ni kimya tu! Ukosefu wa fedha ndio chanzo cha maendeleo kukwama lakini fedha tunazo sasa. Mbona hakuna utekelezaji mpaka sasa! Hizo fedha ziko wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.