As alaykum.Naitwa Ally, ni mwalimu shule ya sekondari serikalini,umri ni miaka 25.Natafuta mke wa kumuoa Serious! Awe na sifa:
*Muislamu Mchamungu
*Asizidi miaka 22
*Awe amehifadhi Quran Tukufu kuanzia Juzuu 3...
Inshaallah tutafunga ndoa ndani ya mwaka huu na Hatutaingiliana mpaka...
Habari ndugu! Kama kuna mtu ana jua namna ya kupata free download ya PDF AU ADOBE READER FOR MOBILE PHONE Naomba maelekezo.Simu yangu ni Orignal NOKIA 2700 CLASSIC, Nashindwa kusoma files zinazohitaji software hizo na nina shida nayo sana kuna materials yangu muhm sana ya kishule! NATANGULIZA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.