hawa wanakuchosha bure tu bingwa wa epl (19 times)... watu wakikosa mafanikio ya kweli... hawana cha kujadiri wanakuja na siledi za namna hii. Failure...... kujadiri kitu kisichokuwa na mashiko ktk timu!
kuna kau-racist kiaina... , lakini utafiti una ka-ukweli.....issue ya africa siyo poverty.
hata uzuri kwa maoni yangu ni kweli.... kwani sijawahi ona mzungu/mweupe kujaribu kujipodozi ili aonekane mweusi au hair kipilipili...but wanawake weusi wanajaribu kila liwezekanalo kubadilisha skin na hair!!
kwanza hongera kwangu na manazi wote wa Machester United kwa kuwa mabingwa wa ligi ngumu na yakusisimua ktk sayari hii!
Tujikumbushe kwa kifupi kabati letu la vikombe: kutoka bbc...
"My greatest challenge is not what is happening right at this moment, my greatest challenge was knocking...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.