Nauliza Tanesco ni kweli kuna uhaba wa nguzo kwa mkoa wa Kilimanjaro has a Wilaya ya Hai maana kuna watu wamelipia toka January wanaambiwa hakuna nguzo pia sisi wa mwezi wa Tano majibu ni hayo hayo.
kinachonishangaza hii huduma mlitakiwa mtusambazie umeme kadri watu wanavyolipia maana ni...
Kiukweli uraia pacha ni muhimu, nakumbuka nilipoenda uingereza niliwakuta Watanzania wengi sana wakiwemo ndugu zangu wawili wakisuffer na uraia wa uingereza . Kutokana na professional zao wameshindwa kujibainisha kuwa ni Watanzania .Pia kuna Watanzania wengi maishio China ni Madaktari ila...
Habari wa wana jf,
Nimejitokeza hapa kwa mara nyngne maana
kuna kipindi nilikuja hapa na hoja kwamba
kuna mpango wa kuanzishwa kwa bodi ya
kusimamia utaalamu wa walimu na vikao vya
siri vinafanyika ili kuanzisha bodi hyo.Na
uanzishwaji wa TTPB umeigwa Nigeria.
Kikubwa hapa Bodi hii ni...
Habari wa wana jf,
Nimejitokeza hapa kwa mara nyngne maana kuna kipindi nilikuja hapa na hoja kwamba kuna mpango wa kuanzishwa kwa bodi ya kusimamia utaalamu wa walimu na vikao vya siri vinafanyika ili kuanzisha bodi hyo.Na uanzishwaji wa TTPB umeigwa Nigeria.
Kikubwa hapa Bodi hii ni nzuri...
Jambo lakusikitisha mwenyekiti wa Boadi hii atateuliwa na Rais mwenyewe na co wanachama
Pia katika ngazi za uongozi wa Bodi watakaoruhusiwa kugombea ni wale tu waliofanya kazi kwa miaka kumi na tano na kuendelea.
kwa maelezo ya kikao nilichohudhuria ni kwmb si hiari kujiunga ni lazima.. na walimu wote mtafanyiwa assessment ukionekana huna kiwango unarudi chuoni then ukirudi unaassessiwa tena ukionekana bado utapewa tena mwaka mmoja na hapo ikishindikana wanakuondoka kazini na wanatangaza kwny gazeti la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.