Kiukwwli cuf walikuwa hawajitambui, wao ni maliberali kweli na vyama vyote vinavyoamini ktk uliberal tayari walishasign kukubali ushoga na ndoa za jinsia moja kma sehemu ya haki za binadam. Prof. Lipumba alishasign hloooooooo.
LIFE AFTER UNIVERSITY THINKERS, tunawakaribisha VIJANA WOTE WASOMI KWENYE KIKAO KITAKACHOFANYIKA SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 2/2/2013. SAA 3:30PM MPAKA SAA 6:00PM, soweto garden ARUSHA...........LENGO, Kujadili mstakabali wetu kama vijana wasomi ktk jamii na tatizo la ajira kwa ujumla wake...
LIFE AFTER UNIVERSITY THINKERS, tunawakaribisha VIJANA WOTE WASOMI KWENYE KIKAO KITAKACHOFANYIKA SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 2/2/2013. SAA 3:30PM MPAKA SAA 6:00PM, soweto garden ARUSHA...........LENGO, Kujadili mstakabali wetu kama vijana wasomi ktk jamii na tatizo la ajira kwa ujumla wake...
KATIKA HALI YA KUSHANGAZA VIJANA WAWILI WALIVAMIA MKUTANO WA CHADEMA KTK KATA YA DARAJA MBILI ULIOHUDHURIWA NA MAMIA YA WANANCHI KUTOKA MITAA YA SANARE, DARAJANI, JAMUHURI NA MITAA MINGINE YA KATA HIYO. LEMA ALIKUWA JUKWAANI KUMNADI MGOMBEA WA CHADEMA KTK KATA YA DARAJA MBILI BW. PROSPER MSOFE...
Mimi sielewi tafsiri ya huu usemi wa toto huyu. Walitaka magazeti yaandike nini? Kwani si mkutano ulirushwa live? Kwan si malori yalibeba watu? Kwani si wamewaiga chadema, kwani wao si matajiri hawataki hata michango ya wanachama wake? Kwani ......................hata obama si masikini ndo...
nimeseme kitu kimoja wadau, serikali ya ccm haiwezi kufika 2015 kwa hali ilivyo sasa. kandoro acha ubabe wa kijinga, watz wengi ni masikini sana, hawana uwezo wa kufanya biashara kubwa ambazo zinatakiwa na ccm. mungu ibariki tz, viva cdm, viva tz
Katika hali isiyo ya kawaida mwenyekiti wa cdm taifa Mh. Mbowe leo ameachiwa bila dhamana. Ktk hali isiyo ya kawaida Mbowe alitakiwa na mahakama kuwekewa dhamana lkn alikataa na mahakama ikanywea ghafla na kumwomba aondoke bila dhamani mahakamani.
Duh!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.