Search results

  1. M

    Sasa tanzania imefika kileleni

    KILELENI MAANA YAKE NI UTAYARI MKUU. kama maji kuchemka hadi 100(nyuzi),
  2. M

    Sasa tanzania imefika kileleni

    Mkuu ni utamaduni wetu kulinda kura zetu kwa uaminifu sana hapa chuga
  3. M

    Sasa tanzania imefika kileleni

    Ninacho, tena nitachinjia arusha kwa utulivu mkubwa
  4. M

    Lowassa kutikisa arusha tar. 15

    nimepata tetesi kuwa mgombea urais wa jamhuri ya muungano wa tanzania, mh. EDWARD LOWASA atatambulishwa a town j.mos hii
  5. M

    Sasa tanzania imefika kileleni

    Usikubali kupitwa na ukawa
  6. M

    Sasa tanzania imefika kileleni

    Ndugu wana jamvi, nimerudi kutoka mafichoni, nimerudi rasmi jamvini leo kufikisha kilele cha tz politics after 54 years
  7. M

    Kilichojiri uchukuaji wa fomu ya mgombea Urais kupitia UKAWA-Lowassa

    HAKIKA NAIONA TANZANIA YENYE SURA MPYA. WANA CCM KUNA KOSA LA KIUFUNDI MMEFANYA. TUJIANDAYE kukubali matokeo
  8. M

    Yaliyojiri Mkutano wa Dr. Slaa na waandishi wa Habari - Makao Makuu CHADEMA

    Dr. Slaa asante, mungu akupe afya njema
  9. M

    Vurugu kati ya CHADEMA na CUF juu ya USHOGA zasababisha Bunge kuahirishwa

    Kiukwwli cuf walikuwa hawajitambui, wao ni maliberali kweli na vyama vyote vinavyoamini ktk uliberal tayari walishasign kukubali ushoga na ndoa za jinsia moja kma sehemu ya haki za binadam. Prof. Lipumba alishasign hloooooooo.
  10. M

    Tangazo la kikao cha wasomi waliomaliza vyuo vikuu.

    LIFE AFTER UNIVERSITY THINKERS, tunawakaribisha VIJANA WOTE WASOMI KWENYE KIKAO KITAKACHOFANYIKA SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 2/2/2013. SAA 3:30PM MPAKA SAA 6:00PM, soweto garden ARUSHA...........LENGO, Kujadili mstakabali wetu kama vijana wasomi ktk jamii na tatizo la ajira kwa ujumla wake...
  11. M

    Tangazo la kikao cha wasomi waliomaliza vyuo vikuu.

    LIFE AFTER UNIVERSITY THINKERS, tunawakaribisha VIJANA WOTE WASOMI KWENYE KIKAO KITAKACHOFANYIKA SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 2/2/2013. SAA 3:30PM MPAKA SAA 6:00PM, soweto garden ARUSHA...........LENGO, Kujadili mstakabali wetu kama vijana wasomi ktk jamii na tatizo la ajira kwa ujumla wake...
  12. M

    Falsafa ya CHADEMA ni hii, ya CCM iko wapi?

    ccm haina tena falsafa, labda nyimbo za mh komba, jogoo limewika dodoma
  13. M

    Kutoka daraja mbili; lema afanya kweli

    KATIKA HALI YA KUSHANGAZA VIJANA WAWILI WALIVAMIA MKUTANO WA CHADEMA KTK KATA YA DARAJA MBILI ULIOHUDHURIWA NA MAMIA YA WANANCHI KUTOKA MITAA YA SANARE, DARAJANI, JAMUHURI NA MITAA MINGINE YA KATA HIYO. LEMA ALIKUWA JUKWAANI KUMNADI MGOMBEA WA CHADEMA KTK KATA YA DARAJA MBILI BW. PROSPER MSOFE...
  14. M

    Sasa RASMI gazeti la Mwananchi na TanzaniaDaima ni mali ya Chadema.

    Mimi sielewi tafsiri ya huu usemi wa toto huyu. Walitaka magazeti yaandike nini? Kwani si mkutano ulirushwa live? Kwan si malori yalibeba watu? Kwani si wamewaiga chadema, kwani wao si matajiri hawataki hata michango ya wanachama wake? Kwani ......................hata obama si masikini ndo...
  15. M

    Mbeya yachafuka polisi wapambana na wamachinga

    nimeseme kitu kimoja wadau, serikali ya ccm haiwezi kufika 2015 kwa hali ilivyo sasa. kandoro acha ubabe wa kijinga, watz wengi ni masikini sana, hawana uwezo wa kufanya biashara kubwa ambazo zinatakiwa na ccm. mungu ibariki tz, viva cdm, viva tz
  16. M

    Mbowe aachiwa bila dhamana

    Katika hali isiyo ya kawaida mwenyekiti wa cdm taifa Mh. Mbowe leo ameachiwa bila dhamana. Ktk hali isiyo ya kawaida Mbowe alitakiwa na mahakama kuwekewa dhamana lkn alikataa na mahakama ikanywea ghafla na kumwomba aondoke bila dhamani mahakamani. Duh!
Back
Top Bottom