masingo sharili
Member
- Mar 18, 2011
- 63
- 12
nimepata tetesi kuwa mgombea urais wa jamhuri ya muungano wa tanzania, mh. EDWARD LOWASA atatambulishwa a town j.mos hii
Hakuna lolote, mbio za panya sakafuni!
Wataijua A town, tutampokea kwa wingi kamanda wetu
nitaenda naye kanda ya ziwa kuifuta ccm mjini na vijijini ya leo ni noma kwa wanadarasalama.