Du! wewe umejua aina zote hizo za milio na umeshindwa kujua kama inauhusiano na msafiri au hamna?Ila nilishawahi sikia mingine ni usanii sio milio ya kweli.
pole sana, hawatoi vingine zaidi ya statement of results, mimi yalinikuta hayo napata shida ninapohitaji matokeo maana hata hiyo statement of results inaweza kuchukua zaidi ya wiki 2 kuipata na hupewi wewe inatumwa inakohitajika kama kazini au shule na zaidi huruhusiwi kuwa nayo wewe kila...
siku zote nilikuwa nafikiri kama unavyosema, na nilijali zaidi kuwa pamoja na tulee watoto pamoja, lakini siku zinavyozidi vituko vinaongezeka mfano ndo huo kila siku anaongea na huyo dada ambaye mwazo alinidanganya ni dada warafiki yake lakini kumbe aliwahi kuwa na mahusiano nae ambayo naamini...
Samahani jamani inaonekana nimeandika kwa ufupi sana,ni ngumu kueleza kila kitu. ndugu zangu wanakuja ila hawafiki ninapoishi wanapiga simu tunakutana sehemu walipo,kaka zangu walishakataa siku nyingi kuja ninapoishi,mdogo wangu wakike ndo wanafahamiana zaidi maana alikuwa anasoma mkoa tunaoishi...
nashindwa nimwite nani, ila nibwana tumezaa watoto 2,tunaishi pamoja mwaka wa 4 sasa. sikujui kwao hakujui kwetu naongea tu na ndugu zake kwenye simu, lini tutafunga ndoa anadai akipata hela wakati huo anmshahara takehome zaidi ya laki 8,nami pia ninamshahara wanguzaidi ya laki 4. zaidi kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.