Mh! Labda nikuulize swali nani unampenda kati yahawa?pili nakushauri angalia moyowako umeangukia wapi tatu angalia mazara yatakayokuja kutokea baadae kati yapande hizi mbili
Umeshasema kumuacha huwezi mm sikushauri umuache, ila chukuwa mazoezi yakuachwa kabla hujaachwa kwani ndio swala ambalo liko njiani,kwann nasema hivyo? Huyo binti akimpata wakumtimizia shida yake umekwenda namaji
Penye uongo ukweli hujitenga,tusubiri tuone mwisho wake kama Lowassa nimamluki katumwa kuja kutuharibia chama tutajua tu, nabinafsi siwezi kusema mojakwamoja kuwa nimamluki sababu sijui siasa namaana yake pia siijui
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.