Search results

  1. J

    Ruby ampa za uso Diva

    Huwa simpendagi kabisa diva, nidemu wakawaida sana! Ila anapenfa kuforce umaarufu mimi mamshauri aache kujiona babkubwa yeye niwakawa sana
  2. J

    Majanga yaliyonikuta kwa kutokunywa maji mengi, usiombe yakukute

    Kunywa maji mengi ila angalia ucjekuwa mweupe sana kama Ray kigosi
  3. J

    Mpenzi wangu anataka ajiunge JF, kapenda jukwaa la MMU

    Nadhani utakuwa umejichanganya kwani ukikataa kumuunga atajiuliza kwann hutaki kumuunga!? Halafu atafanya jitiada yakuungwa namwingine,sasa akili kichwani mwako.
  4. J

    Hivi Pharrell Williams hazeeki...!?

    Hata hivyo mungu kamuumba naudongo mzuri nadhani niudongo wapeponi
  5. J

    Hivi Pharrell Williams hazeeki...!?

    Duh mi nikajuaga kwenye 34hivi kumbe nibuda
  6. J

    Hivi Pharrell Williams hazeeki...!?

    Kwani anamiaka mingapi jamani?
  7. J

    Kumbe Man Fongo si lolote nje ya Dar

    Hata mm misingeshangilia, linyimbo lenyewe eti hainaga ushemeji asa siuhuni hio!? Wakaimbie manzese nawahuni wenzao
  8. J

    Nimemjaribu mpenzi wangu kwa kumtongoza na namba ngeni kanikubalia

    Wewe unauhakika gani kama hajakujua kuwa niwewe?pengine ulipolala ww ndipo mwenzaako alipoamkia, kuwa makini sana nasihara ktk mahusiano mwanamke nimtu dhaifu sana kwamwanaume usimlaumu, napengine ungekubali kwenda loji ungeachwa ww kwamdhalilisha
  9. J

    Mpenzi wangu anabanwa sana kwao, nimepata mwingine aliye huru. Je nimwache?

    Huyu wakwanza ulishakaa nae ukazungumzanae juu yaswala lake?
  10. J

    Mpenzi wangu anabanwa sana kwao, nimepata mwingine aliye huru. Je nimwache?

    Mh! Labda nikuulize swali nani unampenda kati yahawa?pili nakushauri angalia moyowako umeangukia wapi tatu angalia mazara yatakayokuja kutokea baadae kati yapande hizi mbili
  11. J

    Kauli ya Mbowe kuahirisha maandamano ya ukuta Septemba Mosi

    Mimi nashangaa sana,ukuta inatuhusu sisi wenyewe wenye chadema yetu , sasa hawa vidampa wa ccm wanaumia nn!!!?
  12. J

    Hebu leo tufanye kamchezo kamoja halafu kila mtu arudishe majibu kaona nini....!!!!

    Jamani msimlaumu kwani huwezi jua kilakitu unaweza kuwa mjuaji kweli wavitu vingi lakini kitu kidogo nachakawaida sana usikijue
  13. J

    Taarifa kwa Umma kutoka kwa Wazee wa Chama Cha CUF - Dar es Salaam

    Hawa wazee wanataka tuwapige watupe laana hawana lolote,kwani lipumba walifukuzwa!?
  14. J

    Demu wangu anataka kufanya mapenzi kinyume na maumbile

    Umeshasema kumuacha huwezi mm sikushauri umuache, ila chukuwa mazoezi yakuachwa kabla hujaachwa kwani ndio swala ambalo liko njiani,kwann nasema hivyo? Huyo binti akimpata wakumtimizia shida yake umekwenda namaji
  15. J

    Picha: Ni sahihi kwa CHADEMA kuwashikisha Mabango ya UKUTA watoto wa umri chini ya miaka 10?

    Ningemwona mtoa mada wamaana zaidi kama asingekuwa naitikadi ya chama ingependeza najibu tungelipata
  16. J

    Picha: Ni sahihi kwa CHADEMA kuwashikisha Mabango ya UKUTA watoto wa umri chini ya miaka 10?

    Ningemwona wamaana zaidi mtoa mada kama asingekuwa naitikadi yachama ingeleta raha zaidi najibu lingepatikana
  17. J

    Ukimya wa Edward Lowassa juu ya kukamatwa kwa Lema na Salum Mwalimu una maana gani?

    Penye uongo ukweli hujitenga,tusubiri tuone mwisho wake kama Lowassa nimamluki katumwa kuja kutuharibia chama tutajua tu, nabinafsi siwezi kusema mojakwamoja kuwa nimamluki sababu sijui siasa namaana yake pia siijui
  18. J

    Kashfa nyingine NSSF

    Tanzania nizaidi yauijuavyo, wanaojifanya wanajua HAWAJUI ,wanaojua ukiwapa WANAHARIBU.
  19. J

    Mwanadada wa JF kanitongoza

    Jaribu kuingia kama upendo hakuna siunatoka fasta!!
Back
Top Bottom