Habari za jioni ladies and gentlemen poleni na mihangaiko ya siku nzima.
Kuna dada leo ameleta mrejesho na amenitia moyo aliposema tangu 2013 alikua akitafuta ila amekuja kufanikiwa mwaka huu hii imenitia moyo sana na kuona kumbe inawezekana.
Last year nilikuja na uzi wa kutafuta mwenza ila...
Nilifanya hayo yote tena zaidi ya huyo wa kwako almost 10 years unamvulia mtu kwa kila hali ila siku tu alipopata kazi hakuna rangi niliacha kuisoma...... Muombe tu Mungu huyo awe kweli ni mke wako na wewe ni mume wake.... Pia usidharau wanawake wengine ni vile tu kila mtu hawezi elezea kilchomo...
Kisa chako kimenikumbusha mbali sana, my first guy aliniacha vibaya nikiwa first year tena katikati ya UE hapo yeye yupo kazini kakutana na warembo wa maofisini.... Sitasahau nilizimia kwenye mtihani nakulazwa juu ila nilijitahidi nikamsahau, sasa kilichomkuta tangia hapo aliishia kuzalisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.