Habari zenu wapendwa.samahani nina binamu yangu kamaliza kidato cha sita mwaka huu alisomea HGL ambapo matokeo yake ya kidato cha sita alipata div 2.12 ambapo kila somo alipata D.Tunaomba ushauri n course gani nzuri na n chuo gani dar es salaam or popote ambapo inaweza kumpokea kwa matakeo yake...
naombeni msaada jinsi kuturn on java script kwa anaetumia android phone akitumia opera mini pia naombeni mnieleweshe hii java script ndio nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
TANZIA:
MWANA JF MIGUU YA KUKU/ MPAUKO HATUNAE DUNIANI
Kwa mujibu wa rafiki yake wa mitandaoni ni kuwa Mpauko / MIGUU YA KUKU alifariki tarehe 23 /01/2020.
Chanzo cha kifo chake ni kujinyonga lakini hakuna taarifa ya sababu ya kujinyonga.
Rafiki yake anasema alipotezana nae mtandaoni toka...
Habar wana jukwaa nimekuja katika jukwaa hili kwa mara ya pili nina ndugu yangu ni msichana wa miaka 23 elimu yake ni kidato cha nne pia kasomea ualimu wa chekechea na hotel management anaishi dar temeke anaomba kazi yoyote ile kuuza duka ,kufundisha chekechea au hata hotelin au yyte ile ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.