Mbona imesha rekebishwa muda tuu mkuu mwambie apitie kifungu cha 126 cha sheria ya ndoa imetoa exceptions katika mazingira gan yataangaliwa either kwa mama au baba ku custody mtoto even if yuko chin ya miaka 7 asome pamoja 125 ya sheria tajwa hapo juu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza nimsifu aliye kujibu ,,amekujib majibu mazur Sana,
Sheria ya ajira na mahusiano kazini inasema HV mfanykaz kam ataach kaz ndan ya masaa 24 anawajibika kuaacha mshahar ah kumlipa mshahar mwajiri wake..
Sababu kubwa ikiwa kuwa ww ndo uliyeacha kaz na hujampa taarif ya siku 28 kuwa unatak...
Ndo hvyo mkubwa Na kingine c unajua wanaogopa kile kifungu cha 19 cha ELRA NO.6/2004 NA pia kuna vyama vingi sana almost 13 Ambavyo viko under TUCTA
Huu mchezo wanao CWT,TALGWU NA TUGHE hvi vyama vina obtain members wao pindi tu wanapopata ajira serikalin huu ni uonevu
Uko right lakin ndo tumeshajijengea wenyew hvyo Na ndo maana waliokuta utaratibu wanaufuata hivyohvyo
Mm naona labda Kwa kumsadia afanye hivyo ulivyo mwelekez au aende Kwa katibu wa mkoa wa sehem aliyopo wa CWT I hope atasaidiwa
Sikiliza mkubwa hao utaratibu wao ni unakuwa automatic member wa CWT ilimrad tu kama ni mwalimu Na umekuwa employed Na serikali no way to run mkuu,,, nisikikilize kama hajajaza form wenda tu mistake imefanyika but hao badaye wanaletewa form wajaze baada tu kuingizwa kwenye makato hayo ya...
Sasa mkuu hujui umuhimu wa vyama vya wafanyakazi??? Why useme walimu wanaonewa??? What I know ni kwamba CWT,TUGHE,TALGWU wanachama wao pindi tu ukiajiliwa unakatwa kwenye hivyo kimoja wapo Na baadaye huwa wwnawaletea form ambayo mwanzo ilikuw form no 6 but inaitwa form no 15
So usiwambie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.