Baadhi ya Nchi (haswa 'zilizoendelea') zilipiga marufuku uvaaji wa sare za vyama vya siasa kwa madhumuni ya kujenga na kuendeleza utaifa na utengemano wa wananchi haswa baada ya michakato ya uchaguzi!
Kwa hiyo nchi hizo zilitunga sheria ya kukataza "political uniforms"!
Kwa hatua taifa...
Taifa sasa linapitia hatua zinazothibitisha umuhimu wa kuwa na Katiba imara!
Katiba nzuri itakayotengenezwa na kuridhiwa na wananchi wengi na kisha ikatumika ipasavyo itasaidia kurekebisha kasoro nyingi zinazotajwa maeneo mengi kwenye mihimili ya dola yetu.
Aombwe Jaji Warioba azipitie Katiba...
LUKU - VAT 18% + EWURA 1% + REA 3% = 22%. i.e. 22% of the money you want to buy electricity it doesn't! Whatever you you call it, this is taxation to the extent of 22%! One can't claim our electricity is cheap!
Baadhi ya Nchi (haswa 'zilizoendelea') zilipiga marufuku uvaaji wa sare za vyama vya siasa kwa madhumuni ya kujenga na kuendeleza utaifa na utengemano wa wananchi haswa baada ya michakato ya uchaguzi!
Kwa hiyo nchi hizo zilitunga sheria ya kukataza "political uniforms"!
Kwa hatua taifa...
Kwa ajili ya kutekeleza shughuli zake kwa ufanisi, JIJI lianzishe TV ili kuelimisha, kujulisha, kuhimiza na kushirikisha wakazi wake mipango / sheria / taratibu za jiji kwa lengo la kuliboresha!
Hili taifa ni letu sote. Isikubaliwe mtu au kikundi cho chote cha watu (nadni na nje ya nchi) kuendesha au kushawishi mambo ya kitaifa kana kwamba ni lao peke yao!:yawn:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.