Dr. Msafiri
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 471
- 154
Taifa sasa linapitia hatua zinazothibitisha umuhimu wa kuwa na Katiba imara!
Katiba nzuri itakayotengenezwa na kuridhiwa na wananchi wengi na kisha ikatumika ipasavyo itasaidia kurekebisha kasoro nyingi zinazotajwa maeneo mengi kwenye mihimili ya dola yetu.
Aombwe Jaji Warioba azipitie Katiba zote (ile tume yake iliyoandaa & ile ya BMK) ili kuandaa nyingine chotara ya hizo itakayokubalika kupigiwa kura ya maoni!
Katiba nzuri itakayotengenezwa na kuridhiwa na wananchi wengi na kisha ikatumika ipasavyo itasaidia kurekebisha kasoro nyingi zinazotajwa maeneo mengi kwenye mihimili ya dola yetu.
Aombwe Jaji Warioba azipitie Katiba zote (ile tume yake iliyoandaa & ile ya BMK) ili kuandaa nyingine chotara ya hizo itakayokubalika kupigiwa kura ya maoni!