Ndugu wana JF,
Poleni kwa majukumu na hongereni kwa kuendelea na majukumu hayo.
Kipindi kama cha mwezi mmoja hivi niliwahi kuleta ombi na kuhitaji msaada kwa dada yangu ambae alikuwa anahitaji nafasi ya kazi katika maeneo ya migodi au viwandani kutokana na taaluma yake aliyoipata.
Kwa...
Wana JF,
Naomba kuuliza vipi zoezi la uhakiki linavyoendelea kufanyika hapa nchini lina matokeo gani? Kuna wafanyakazi hewa vipi hao wanachukuliwa?
Kuna wenye vyeti original lakini si vyao nao vipi wao hujulikana?
Vipi unafanyika uhakiki kwa watumishi wa sekta za ulinzi (JWTZ, polisi, na...
Wana JF
nina dada yangu kasoma diploma ya Mineral processing lakini bado anasota2 kitaa kutafuta sehemu hata ya kupata pesa ya sabuni. Tokea amalize chuo ni muda km wa miaka miwili sasa. hivyo msaada kwenu kwa yeyote mwenye mgodi, kiwanda,au kumfahamu mtu mwenye uhitaji wa hiyo nafasi ya kazi...
Jamani naombeni msaada wenu, kwa mweyekujua jinsi ya kupata joining instruction ya chuo cha Bandari Dar es Salaam au kama umesoma hapo, au kuna mtu unamjua anasoma hapo msaada plz.
Wana JF
Naomba kupata Details za kutosha kuhusu chuo cha bandari Dsm, kuanzia ada zake,E-mail yake hostel, mazingira yake, mahali kilipo na ubora wa kozi zake. samahani km nitawakwaza ila nahitaji msaada kwa hayo na mengineyo mengi ambayo mtu anayajua kuhusu chuo hiko.
Wana JF
nimekutana na in box message kwenye e-mail yangu kuwa ni upload my certificate qualification,na pale kwenye lile jina la huyo sender katumia NACTE lakini google account yenyewe inadai kutomtambua huyo mtumaji km kweli ni Nacte, na tatizo la profile wote twalijua
kingine kilichonishangaza...
Habari zenu wana JF.
Natafuta mtu mwenye mashine ya kutengeneza POPCORN inayotumia gesi iwe used au mpya ila isiwe mbovu na ya gharama nafuu.
pia natafuta mashine ya kutengeneza Ice crem iwe yenye umbo dogo na gharama nafuu ikiwa used pia sawa.
Tuwasiliane kupitia 0653273420/0682580560
Nahitaji mashine ya popcorn iwe ndogo au saizi ya kati kwa gharama nafuu iwe used au mpya isiwe mbovu wala kubwa sana. Tuwasiliane kwa namba 0682580560/0653273420
Habari zenu wana JF naomba msaada wa kujua ni kipimo gani huweza kupata majibu kwa magonjwa tofautitofauti mwilini kwa kutumia damu. Hii ni kwa sababu nasumbuliwa na maumivu makali ya mgongo kwa muda mrefu sasa hali inayopelekea mwili wote kuwa na joto kali pia viungo huchoka sana na maumivu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.