Wadau nahitaji vifaa kwa ajili ya kufanya wiring kwenye ka-ujenzi kangu (nyumba) ambavyo ni 'genuine and high quality'. Kwa mwenye taarifa wapi nitavipata, tafadhali nijuze, ikiwezekana na bei zake. JF hakuna kinachoshindikana!!!!
Wana bodi, tafadhali nijuzeni wapi (kwa hapa Tanzania) nitapata cd (audio & video) kwa ajili ya watoto kujifunza mambo mbalimbali ya kitaaluma ikiwemo lugha ya Kiingereza, masomo ya sayansi n.k. Nakaribisha mwongozo wenu.
Karibu kila jambo linalotokea tunakimbilia kusema suluhu ni katiba mpya! Je ni kweli kwamba katiba mpya pekee inaweza kutukomboa na matatizo tuliyo nayo wa TZ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.