mkuu namshauri huyo aje kulingana na elimu na kigezo cha uelewa bado utakuwa mdogo sana inaonyesha zairi muda aliokalia madawati ni mrefu hali tu asiropoke ,angalizo kwake aende kwanza kuapa shahada tofaut na hiyo ya damu ya ccm
du hapa bado nipo sipo (d'lema) kumbukeni kunasiku ilikuja ama kuwa budget za kila wizara zilipunguzwa kulipa dowans je amuoni kuwa yawezekana wamelipwa halfu wanatupiga chenga la macho hawa mafisadi
mie ninaomba kama kuna udhibitisho wa kusamewa uwekwe jamvin tuusome
INANISHANGAZA SANA KAMA SPIKA ANAONA KUJADILI MABOMU SI MSINGI ILA KUJADILI KUVUNJA KANUNI ZA BUNGE ILIKUWA JAMBO LENYE MASILAHI KWA UMA SIO INABIDI AJIUZULU KWA MISINGI HII HATUATA FIKA :mullet:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.