Ndugu zangu, mapema leo asubuhi mmeona post ya BAVICHA-IRAMBA ikisema kuwa nimetangaza rasmi kugombea UBUNGE katika jimbo la Iramba-Magharibi. Hilo haliwezi kuwa tangazo langu rasmi kwa sababu zifuatazo:-
1. Mgombea wa nafasi kubwa na nyeti kama hiyo hawezi kusemewa na yeyote ila yeye...
Ndugu zangu, mapema leo asubuhi mmeona post ya BAVICHA-IRAMBA ikisema kuwa nimetangaza rasmi kugombea UBUNGE katika jimbo la Iramba-Magharibi. Hilo haliwezi kuwa tangazo langu rasmi kwa sababu zifuatazo:-
1. Mgombea wa nafasi kubwa na nyeti kama hiyo hawezi kusemewa na yeyote ila yeye...
umenena vema sana Kandidus, Ruta bila shaka yoyote amejipambanua kuwa yupo bias katika hili msakata, kusema kwamba kufanya mapenzi na binti mwenye miaka 17 ni kubaka afanye research tena kabla hajaleta mada yake JF. aelewe pia kuwa ni miaka 14 and below ndio inamfanya any person with the age of...
kweli ni kiongozi mzuri aendelee hivyo, ila demokrasia ndani ya chama iendelee na viongozi waendelee kuchaguliwa kila baada ya muda kama katiba ya chama inavyosema. wagombea wajitokeze wakati wa uchaguzi na wachaguliwe kuliko kuanza kujinadi miaka mingi kabla, hii inawafanya waache kushughulikia...
huyo sio raia wa igunga ila dar, soma vizuri Gwallo. anatambulika kama wakala kwani ndio kazi iliyomtoa dar kwenda igunga. tungoje ripoti ya polisi ila taarifa za kijasusi ni kwamba marehemu aliuawa tena kwa risasi. sasa ngoja vyombo vya dola vidanganye.
Prof. Baregu alinyimwa kazi udsm kisa kujipambanua kuwa ni kiongozi mwandamizi wa CHADEMA. lakini cha ajabu kuna wenyeviti CCM na madiwani wa CCM ni wafanyakazi wa vyuo vikuu vya umma. binafsi naumia sana na ufedhuli huu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.