Wewe lazima utetee upumbavu kwa kuwa unafaidi mfumo huu wa kifisadi na hujawahi kulala njaa, kwa mlala hoi asiyejua kesho yake amani unayoihubiri ambayo hana haina maana yeyote wakati wewe na wachumia tumbo wenzako mnatuna matumbo tu.
we HAMY-D acha matusi we ulifundishwa na wazazi wako au walimu wa kawaida unakuwa kama chichidodo anachukia kinyesi anapenda mang'onyo blali shikamoo wewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.