Search results

  1. W

    Standard Bank ya UK kuilipa serikali ya Tanzania fidia sakata mkopo USD milioni 600

    Ndugu zangu, Serikali ya Tanzania kulipwa fidia na benki ya Standard ya uingereza kutokana na rushwa iliyogubika mkopo wa dola miloni 600 mwaka 2013. Sakata hili tulishuhudia aliyewahi kuwa Kamishina Mkuu wa TRA Harry Kitilya na wenzie watatu wakienda lupango. Ikumbukwe Zitto Kabwe...
  2. W

    Mjadala: Je, ruzuku ya bilioni 100 kwenye mafuta itapunguza bei ya mafuta kwa kiasi gani? "Jambo letu hatarini"

    Ndugu zangu, Leo siku ya jumanne tarehe 10.05.2022 Ndugu Januari Makamba, Waziri wa Nishati akiwa bungeni ametangaza uamuzi wa serikali kutoa ruzuku ya takribani bilioni 100 za kitanzania. Nikirejea uamuzi wa Waziri Makamba miezi michache iliyopita wa kuondoa tozo ya shilingi 100 kwenye mafuta...
  3. W

    Ziara ya Rais kwenye nchi moja (US) kwa zaidi ya siku 5 haina tija. Muda mwingi wapo "idle" hotelini

    Ndugu zangu, Mnamo tarehe 13.04.2022 Rais Samia amekuwa katika ziara nchini Marekani akiambatana na "delegation" kubwa sana ya watumishi wa serikali. Kama Rais alipaswa aende US kwa mambo ambayo ni "specific " na sio kukaa huko akisubiri matukio. Kuna udhaifu mkubwa kwa wizara ya mambo ya nje...
  4. W

    Kwanini Rais Biden kwa mara ya pili hakutani na Rais Samia?

    Ndugu zangu, Itakumbukwa mwaka uliopita Rais Samia alienda Marekani na alifika Ikulu ya White House badala ya kukutana na mkuu wa nchi ya Marekani alikutana na Makamu wake Kamala Harris. Na mara hii tena katembelea Ikulu ya White House badala ya kukutana na Biden ambaye yupo Marekani lakini...
  5. W

    World Bank: Tanzania bado ipo uchumi wa kati

    Ndugu zangu, Katika pitapita kwenye magazeti hii habari kuhusu Tanzania. Je,kwa Tanzania kuwa hadhi ya juu kiuchumi kuna misaada tunakosa?
  6. W

    Mwaka 2015 ilikuwa UKAWA vs MAGUFULI, mwaka 2025 itakuwa CCM vs Wananchi na kivuli cha Magufuli

    Amani iwe kwenu, Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi. Naam, kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta...
  7. W

    Raia Mwema: Mbowe na Lissu watofautiana kauli

    Waungwana, Hadi sasa kuna fukuto, tangu Mbowe asamehewe na Rais Samia kutoka jela hawana maelewano na Lissu. Kuna watu ndani ya Chadema mioyoni mwao walitamani Mbowe asitoke jela. Muda unatuambia sasa. Awali, hapa JF kulikuwa na hii thread - Kiongozi wa chama haelewani na yule kiongozi...
  8. W

    Je, CHADEMA wataendelea kugomea ruzuku?

    Waungwana, Uongozi wa Chadema chini ya Mbowe ulitangazia watanzania uamuzi wa kususia ruzuku hadi pale kutakapokuwa na "tume huru ya uchaguzi" na katiba mpya. Hadi sasa mambo yako vilevile na hakuna dalili ya mabadiliko. Je, Mbowe ataendelea kugomea ruzuku hata baada ya kutoka jela?
  9. W

    Kwanini Fatma Karume siku hizi "kajitenga" na CHADEMA

    Fatuma Karume ambaye enzi za serikali ya awamu ya tano (5) alitambulika kama "shangazi" miongoni mwa wafuasi wa Chadema sasa hivi ni dhahiri kajitenga na Chadema. Siku hizi huwezi kukuta wafuasi wa Chadema wakisambaza "tweets" zake au yeye "shangazi akiungana na wafuasi wa Chadema kutetea "hoja...
  10. W

    Ziara ya Waziri Makamba nchi zinazozalisha mafuta haijaleta tija kama alivyotangaza

    Ndugu zangu, Miezi ya hivi karibuni Waziri Makamba alitembelea nchi za ghuba zinazoongoza kwa uzalishaji wa mafuta ulimwenguni.Baada ya kurejea alituhakikishia kuwa mwezi Disemba mwaka huu mafuta yatashuka bei kwani kafaniiiwa kuwashawishi wazalishaji ili Tanzania kupitia TPDC inunue mafuta...
  11. W

    Rais Samia tupia jicho sekta ya utalii na sukari lasivyo zitagharimu nchi na chama

    Ndugu zangu, Kwa maslahi mapana ya Taifa na chama changu ninaona kuna mambo hayajakaa sawa. Idara yetu ya mambo ya nje na wasaidizi wa Ikulu wanafurahia posho za safari na vikao lakini hawampi taarifa sahihi Rais Samia. Diplomasia yetu sasa inakwenda kutengeneza ajira kwa wakenya na watanzania...
  12. W

    Ndugai kakomaa kisiasa, Jenerali kaonesha ushamba sana

    Ndugu zangu, Jenerali Twaha Ulimwengu alipata kuwa viongozi wa TANU youth league (UVCCM) ya sasa na kupitia CCM alipata teuzi mbalimbali. Nimkumbushe tu kwa umri wake kupiga picha na viongozi wa vyama rafiki na CCM ni kawaida sana. Na hata sasa kwa viongozi wa CCM na serikali kupiga picha na...
  13. W

    Rais Samia, hili la wamachinga litawapa umaarufu wanasiasa waliopoteza mvuto. Watasema "umepiga mchache"

    Ndugu zangu wanaJF! Rais wangu SSH ninaona ugumu huko mbeleni kisiasa.Kumbuka kabla ya uchaguzi Mkuu mwaka 2015 wana-CCM tulikuwa hatuwezi kukatiza mitaa ya majiji makubwa tukiwa na sare au fulana kwani tulizomewa na baadhi waliambulia vipigo.Siasa za manispaa na majiji makubwa zilitekwa na...
  14. W

    Fatuma Karume muombe radhi Prof. Abdirazak Gurnar kwa niaba ya Mzee Karume

    Ndugu zangu, Huu ni wito kwa "mwanaharakati" na "mtetezi wa haki za binadamu" kupaza sauti na kumuomba radhi Prof. Abdirazak Gurnar na wengine ambao waligeuka wakimbizi kutokana na siasa za Mzee Karume. Uungwana ni vitendo, upendo huanzia nyumbani. Fatuma Karume aka shangazi kwenye hili...
  15. W

    Profesa Assad afuate nyayo za Prof. Safari kuliko kuumia na kinyongo

    Ndugu zangu, Saikolojia unasema "ukiona mtu anazungumzia jambo lililomponyoka mara kwa mara ujue bado analitamani" kwa mfano mtu kaachwa lakini kuwa kucha badala ya kufanya kazi nyingine anafatilia maisha ya mtu aliyemwacha ujue suala limemuuma. Profesa Mussa Assad alipoondolewa "u-CAG"...
  16. W

    "Pandora papers" ni jeneza la kisisa kwa kambi ya Uhuru Kenyatta,ni Turufu kwa William Ruto

    Ndugu zangu, Kwa hakika "Pandora papers" ni kama pigo kwenye mshono (surgery) baada ya kipigo cha BBI dhidi ya Uhuru Kenyatta na washirika wake. Mwanasiasa atakayejihusisha na kambi ya Uhuru Kenyatta katika uchaguzi wa Kenya mwaka 2022 ni dhahiri atapata tabu kutoka kwa "hustlers" wakiongozwa...
  17. W

    Waziri Makamba hili la Maharage Chande na Zawadia Nanyaro litakuponza mbele ya safari

    Ndugu yangu January, Pamoja na mengi yaliyosemwa ila kuna mgongano mkubwa wa maslahi kati ya MD mpya wa TANESCO Ndg.Chande na Mjumbe wa bodi Ndg.Zawadia Nanyaro. Hawa wawili ni wakurugenzi wa bodi Benki ya DCB, Chande akiwa Mwenyekiti na Nanyaro akiwa Makamu Mwenyekiti. Huku TANESCO, Chande...
  18. W

    Rais Samia anahujumiwa kwenye suala la wamachinga

    Ndugu zangu, Kuna hujuma za dhahiri sasa baadhi ya wakuu wa mikoa wanataka kufanya ili kujenga taswira hasi dhidi ya Rais Samia kwenye suala la wamachinga. Tuseme ukweli mwaka 2015 umaarufu wa CCM ulikuwa shakani baada ya historia mbaya kunyanyasa wamachinga leo tunarudi kulekule.Tulilazumika...
  19. W

    Wajue waasisi wa TANU

    Ndugu zangu, Hii ndio historia sahihi kuhusu viongozi waasisi wa TANU
  20. W

    Kabla ya 2025 itawapasa wafuasi wa CHADEMA kutafuta chama kufanyia siasa kama ilivyokuwa kwa akina Hayati Maalim Seif

    Ndugu zangu, Siku zinaenda kasi,kuna kila dalili "wenye Chadema yao kuichukua" huenda Mbowe akabaki au akaondoka lakini "watakaochukua" chama hawatakuwa na hulka hizi za "kimagharibi".Watakuwa jeuri,wenye kuipenda nchi yao,wakipambana kutumia watu waliopo kuiletea nchi yao maendeleo. Bila...
Back
Top Bottom