Heshima mbele sana wakuu.
Kama ilivyoelezwa kwenye kichwa cha habari hapo juu, naomba kujuzwa utaratibu unaotakiwa kufuatwa ili kuweza kusajili eneo ambapo tayari kuna nyumba na watu wanaishi. Inawezekana kusajili Ardhi ikiwa ni pamoja na nyumba hiyo?
Natanguliza shukrani zangu za dhati
Hepatitis B ni homa ya ini kwa kiswahili. Homa ya Inni umeanza kuwa tishio kama ilivyo katika ugonjwa wa ukimwi, na maambukiz yake ni kama yalivyo katika ugonjwa wa ukimwi mbaya zaidi ukigusana na jasho la mtu mwenye ugonjwa huo au kunyonyana ndimi, kufanya ngono zembe au kinyume na maumbile na...
Hawa watoto wanatabia za ajabu ajabu... Ni kweli kuwa mazingira yamekuwa tofauti lakini boom (kama unapata 100%) linatosha kuishi. Mimi sikuwa na baba, mama wala ndugu wa kunisaidia bt niliishi chuo kwa boom huku nikiwasupport (fully) wadogo zangu wawili secondary,
Sikuwa nakaa hostel...
Kama kumbu kumbu zangu zipo sahihi, matokeo ya utafiti yalikuwa yanasema kwamba asilimia 70 kati ya wanaume wanaoshiriki mapenzi ya jinsia walihojiwa na asilimia 23 walikiri kuwa na wameoa na wanafamilia pia.. Hakuwezi kuwa na 70% ya wanaume wa tanzania wanashiriki mapenzi na wanaume wenzao...
Binafsi, Nimeshajaribu sana kufanya kazi na dawati la jinsia. Nimeshapeleka kesi 4 na sikuwahi kupata msaada hata kidogo... Namaanisha 0% cooperation. Kwa uzoefu wangu naamini hawa nao ni polisi tu kama polisi wengine ambapo weledi bado ni tatizo sana na pili hawa nao ni sehemu ya jamii ambapo...
Lol..... Mi sio wakala, Naweza kuwa Dalali, nikipata wateja nawaleta kwako. Nadhani ninauwezo mzuri wa ku Identify watu wenye msongo wa mawazo na kuwashauri waje kwako
Nimezoea kuona watu wanabadilisha nyimbo nzuri kuzifanya kuwa za kijinga. Bt this time kwenye historia yangu naona nyimbo ya kijinga imefanywa kuwa ya busara...
Shikamoo Mentor
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.