Search results

  1. K

    Gazeti la an nnur kufutwa/ kufungiwa

    Kutokana na mwenendo wa gazeti hili kuna kila dalili za gazeti hili la kiislam kufutwa au kufungiwa kwani limeonyesha dhahiri bila ya uficho kuwa na mwelekeo wa kichochezi , mwelekeo wenye kuamsha na kujenga hisia kali za kidini hasa kwa waislam ambao kwa miaka mingi wamekuwa ni watu wenye...
  2. K

    Kama serikali inasema haina pesa chadema tangazeni matmezi ya hisani watu wachangie g

    Pamoja na wizi ulikithiri serikalini katika kila idara bado serikali kupitia selina kombani bila hata aibu yoyote anasimama na kutuambia eti serikali haina pesa kwa ajili ya kugharamia uuandaaji wa katiba mpya , SASA MIMI NASEMA TUNAOMBA CHADEMA WATANGAZE MATEMBEZI YA HISANI NCHI NZIMA ILI...
  3. K

    Akina gbagbo wake wengi africa ndiyo maana anagoma kuachia ngazi

    Huu ni ukweli usipipngika kwani viongozi wengi wa Africa ni wachakachuaji wakubwa wa matokeo ya kura,na ndiyo maana hata laisi wenu kiweteee hawezi kumlaani Gbagbo, kwa sababu naye ni walewale. hana jipya aibu imemtanda uso mzima kwani sote tunajua hatukumchagua bali tulimchakachua.
  4. K

    Mseto wa zanzibar waiweka CUF njia panda kama chama cha upinzani

    Katika mitego mibaya ambayo Chama cha CUF wamewahi kutegewa na kunaswa ni kujikuta wameingia kwenye mseto ambao kimsingi umewavua sifa ya kuwa watetezi wa wananchi kwa kuleta changamoto mbadala, kwa kujiunga na sisiem na serikali hiyo kuwa chini ya uongozi wa sisiem na makamu wa pili wa...
Back
Top Bottom