Kutokana na mwenendo wa gazeti hili kuna kila dalili za gazeti hili la kiislam kufutwa au kufungiwa kwani limeonyesha dhahiri bila ya uficho kuwa na mwelekeo wa kichochezi , mwelekeo wenye kuamsha na kujenga hisia kali za kidini hasa kwa waislam ambao kwa miaka mingi wamekuwa ni watu wenye...
Pamoja na wizi ulikithiri serikalini katika kila idara bado serikali kupitia selina kombani bila hata aibu yoyote anasimama na kutuambia eti serikali haina pesa kwa ajili ya kugharamia uuandaaji wa katiba mpya , SASA MIMI NASEMA TUNAOMBA CHADEMA WATANGAZE MATEMBEZI YA HISANI NCHI NZIMA ILI...
Huu ni ukweli usipipngika kwani viongozi wengi wa Africa ni wachakachuaji wakubwa wa matokeo ya kura,na ndiyo maana hata laisi wenu kiweteee hawezi kumlaani Gbagbo, kwa sababu naye ni walewale. hana jipya aibu imemtanda uso mzima kwani sote tunajua hatukumchagua bali tulimchakachua.
Katika mitego mibaya ambayo Chama cha CUF wamewahi kutegewa na kunaswa ni kujikuta wameingia kwenye mseto ambao kimsingi umewavua sifa ya kuwa watetezi wa wananchi kwa kuleta changamoto mbadala, kwa kujiunga na sisiem na serikali hiyo kuwa chini ya uongozi wa sisiem na makamu wa pili wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.