kuthumiwa haule
Member
- Dec 27, 2010
- 23
- 0
Pamoja na wizi ulikithiri serikalini katika kila idara bado serikali kupitia selina kombani bila hata aibu yoyote anasimama na kutuambia eti serikali haina pesa kwa ajili ya kugharamia uuandaaji wa katiba mpya , SASA MIMI NASEMA TUNAOMBA CHADEMA WATANGAZE MATEMBEZI YA HISANI NCHI NZIMA ILI KUTAFUTA PESA YA KUFADHILI UUANDAAJI WA KATIBA MPYA, TUSIKATISHWE TAMAA NA WATU KAMA KOMBANI , YEYE ANASHIBA KUTOKANA NA MFUMO ULIOPO BALI HANA HURUMA NA WAJUKUU ZAKE AMBAO MFUMO HUU HAUTA KUWA NA TIJA WALA MANUFAA YOYOTE KWAO,KAMA BAKORA ZA CCM TUMESHAPIGWA VYA KUTOSHA SASA TUKO TAYARI KWA MABADILIKO.