Hapo itategemea na hulka yangu na mazoea niliyojijenga naye. Mimi binafsi mke wangu nilishamwambia kitambo sana tangia tuko boyfriend na girlfriend kuwa spend kabisa hiyo tabia, lakni mwingine anaweza chukulia poa, na wengine huwa hawaulizani kabisa habari za simu, hata mmoja kugusa simu ya...
Kujua kuwa mwanaume ana wivu wa kitoto au kumlaumu mwanamke inabidi tuangalie maisha yao zaidi kuanzia jinsi walivyokutana. Huwezijua labda siku ya kwanza huyo mume wake alipomtokea alimkuta huyo mwanamke na mwanamme mwingine naye akaomba namba ya simu, sasa jamaa anaona kama vile mkewe ni...
Wewe Teroburu kwanza unajua maana ya neno Pathetic au umekurupuka kutoka kwa mlacha saiv kakutuma uje uandike hizi crap?
Ngoja nikupe darasa kidogo.
Meaning of Pathetic:
(a.) Affecting or moving the tender emotions, esp. pity or grief; full of pathos; as, a pathetic song or story.
(a.)...
Hivi Kikula kusoma hakumsaidii??Yaani mtu ukishakuwa kiongozi Humanity kwako inapotea??sasa kusema Claim zetu they are not Genuine anamaanisha nini?? Huyo JK akishamaliza kucheza kiduku huko zanzibar aje haraka UDOM kabla hapajageuka kuwa Arusha part 2
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.