Kumbuka kwamba wanaenda kuomba hizo DNA test tiyari wanakuwa na wasiwasi/ mashaka kama hao watoto ni wao au la....kwa hiyo hiyo asilimia 49% isikutishe san...sio katika jamii nzima ni katika sample za wenye wasiwasi :-)
It depends on the methodology used to calculate his networth! i suspect it includes fixed assets including land (in Tz this varies wildly depending on where it is, and some dont usually include it)
Mkuu unayosema ni kweli? Basi ww ni mmoja Wa mashahidi muhimu ktk hii kesi, pls nenda Polisi Katie hii taarifa muhimu! Ikiwezekana uwa tafute na hao wachina waliopiga calculations
Nakubaliana Na Rex hapo juu! Tafuta vidonge vya Gingo Biloba (herbal remedy), vinaweza kusaidi, lakini itabidi utumia angalau kwa miezi mitatu ndo uone Kama kuna tofauti au la! Otherwise itabidi uende hospitalini kwa uchunguzi zaidi ( hospitali kubwa/ pengine Aga Khan)
Source: Lake Malawi/Nyasa row: Time to show strong leadership | Malawi news, Malawi - NyasaTimes breaking online news source from Malawi
comments from Malawi
BigMan Says:
August 6th, 2012 at 8:40 pm
We can take these Taifa's with the right...
Ni muhimu kuwe na elimu kwa umma kwa ujumla (ingawa hata polisi wetu pia wanahitaji refresher courses) kuhusu umuhimu na njia sahihi ya ukusanyaji wa ushahidi pindi uhalifu unapotokea!
Katika mgogoro wa mpaka kati ya Malawi na Tanzania yupi kati ya hawa viongozi watatu ameonyesha uongozi mzuri hadi sasa na anafaa kua Amiri Jeshi Mkuu wa Tanzania? Elezea/ Fafanua....
1) Tanzania asks Malawi to halt oil exploration | Malawi news, Malawi - NyasaTimes breaking online news source...
Wakuu mimi nipo safari ktk Iringa kuelekea Dar! Nikifika dar nitapitia posts zote na kutoa marks! Lakini mpaka sasa nasikitishwa sana na uelewa mdogo wa wengi ktk hili swali (ukizingatia wengine wanajita ma Dr); Mwongozo :- ili kujibu hili swahili ni vizuri ujiulize definition ya speed...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.