Jamani eeh Mnyonge Mnyongeni haki yake mumpe, jamaa yupo juu katika kukusanya mapato , kwa kifupi anatisha!
Big up JK, kata domodomo hizi, nakusifa kwa kuweka urasimu ktk kusamehe kodi kwa NGO NA mashirika ya dini, BAJETI IJAYO samehe kodi kwa Qurani na biblia tu, mengine yoote lipeni, eboo...
Kuna habari nilizozisikia kwenye vyombo vya habari Kuhusiana na mtoto wa mkulima kukataa gari ambalo tayari amenunuliwa! Sitaki kuamini kuwa tokea mchakato wa manunuzi ambao kwa serikalini huchukua muda uanze huyu jamaa hakuwa aware, but ni yeye ambaye kwa kipindi chake kilichopita aliondoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.