Ongeeni yote mnayoyaweza lakini heshima ya nani alifaulu sana au hakufaulu sana itaonekana pale ambapo utakuwa unahudumia jamii, na kufaulu sana au kufeli sana haimaanishi unauelewa mkubwa au mdogo kikubwa ni kuifahamu vizuri kazi unayoenda kuifanya na uwezo wa kuifanya watu wakakukubali
Ukitaka kuamini kuwa selection tayari zimetoka ila wameamua kutotangaza kwanza fungua website Muslim University Morogoro kwani wao tayari wamesha display kwenye web yao,
ila hii thread nimeipenda sana maana inaondoa presha si tu kwa mhusika mwenyewe hata kwetu sisi tulio na wadogo zetu ambao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.