Nimeiona hii post kwa blog flani nikashindwa kujizuia kuiweka humu.
Ukweli usemwe. Ndoto ya kila mwanaume katika hii dunia wakati mmoja au mwingine hufikiria kuwa na kipawa cha kuweza kumzuzua mwanamke yeyote anayemzimia. Uzuri ni kuwa hauhitaji kuwa tajiri ama kuvutia ili uwe na kipawa kama...
Nimekuwa nikipitia pitia kwa mitandao tofauti nikisoma habari kuhusu huyu wakili Corazon Kwamboka na jinsi waandishi tofauti wa blogs wana maoni kumhusu.
Well, yaonekana kuwa Corazon Kwamboka ndio jina jipya na latest katika blogsphere. Infact amekuwa akipigwa darubini kuanzia blogs za...
Mamake mwigizaji wa Hollywood Sylvester Stallone anayejulikana kwa jina Jackie Stallone ni mama mzee mwenye umri wa miaka 92 lakini bado ni mtu mwenye nguvu na anaijulia sana mitindo ya kuvalia nguo.
Jackie ambaye anafanya kazi ya kutabiria nyota za watu alionekana akitembea kando na kilabu...
Reality show kubwa zaidi Afrika iko karibuni na wakenya wameanza kutoa mawazo nani anayeonekana bora kwa mashindano hayo.
Mwaka jana Kenya iliwakilishwa na Huddah Monroe na Annabel Mbaru ambayo perfomance yao ilikuwa ovyo.
Katika Twitter, mtangazaji wa redio maarufu Nairobi alimshawishi Vera...
Corazon Kwamboka aka lilythegenie anazidi kuimaintain himaya yake kwa kuwa na shepu inayoaminika kuwa bora zaidi jijini Nairobi. Hata wengine waliojaribu kuiga mitindo yake ya kupiga picha na kuweka makalio feki walianguka vibaya.
Tukiongea makalio feki, Corazon ashajitenga na kundi...
Siku ya jumapili ilikuwa ya furaha kwa wote walioweza kushinda tuzo la BET Awards, na pia ilikuwa siku ya vichekesho kwani MC ambaye alikuwa akiongoza shoo nzima Chris Rock alikuwa akiwashambulia baadhi ya mastaa ikiwemo Chris Brown, Dr. Dre na wengine.
Lakini ile iliyozua hisia ni baada ya...
Kwa muda nimekuwa nikijaribu kumsoma rais Jakaya Kikwete kuhusu kuchangia kwake kwa ushirikiano katika kanda ya afrika mashariki.
Huku nchi kama Kenya, Uganda na Rwanda zikishikana mikono kwa dhati, JK ameendelea kujitenga na mataifa haya. Swali ni kwa nini?
Kwa kufanya uchunguzi wangu...
Rihanna jijini London aliwasili huku amevalia chain katika shingo pamoja na kuvuli...Rihanna anakisiwa kuwa na mahusiano ambayo bado hayajakuwa wazi na msanii Drake.
Cheki baadhi ya picha zikimuonyesha Riri na chombo hicho.
Credit: bkuHABARI Blog
Huu muda wote mpaka Miley Cyrus amalize concerts zake za Bangers tour, tutajitayarisha kuona mengi.
Hivi mwezi jana staa huyu aliweza kuilamba chupi ya fan wake mmoja na haingekuwa maajabu kuona zaidi ya tendo kama hili.
Haishangazi kumuona Miley akipafomu akiwa na chupi pekee.
Katika...
Hebu mwanzo tuweke wazi hapa kabla hatuja dondosha list nzima ya wanaume aliokuwa nao Kim Kardashian, hatuwezi kusema Kim ni [ingiza neno lako hapa] kwa kuwa na mahusiano na wanaume 9 kwa muda wa miaka 33.
Unaweza kumhukumu staa huyu kwa kuwa na ndoa mbili za kuvunjika, na pia ule wakati...
Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya
Makubwa! Mtabiri maarufu Bongo, Maalim Hussein Yahya ameanika nyota za baadhi ya mastaa wa Bongo katika kipengele cha mapenzi au ngono, Risasi Jumamosilimesheheni.
Mtabiri maarufu Bongo, Maalim Hussein Yahya.
Akizungumza na mapaparazi wetu katikati ya...
Imekuwa picha ya kwanza kuvunja rekodi ya kusambazwa zaidi ulimwenguni mzima.
Na sahizi kumewekwa picha nyingine mfanano lakini yenye ucheshi ndani yake.
Siku kadhaa baada ya Ellen Degenes kuweka picha yenye mastaa kadhaa kwa mtandao wa Twitter, watu nao wameamua kuibadilisha picha hio...
Stori: SHAKOOR JONGO
Exclusive Interview! Staa anayeuza zaidi kwa sasa kwenye muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Jumaa Diamond Platnumz amefungukia skendo ambazo zimekuwa zikimtafuna kila kukicha huku akieleza kuwa, sasa anajuta kuwa staa, Ijumaa lina mzigo kamili.
Akizungumza na...
Katy Perry ameamua kuwa atamchapa makalio Miley Cyrus.
Haya ni maneno yaliyotoka kwa Katy Perry na wala sijayatunga mimi. Staa huyu wa nyimbo E.T. ameamua kumjibu Miley Cyrus baada ya mvutano wa kimaneno. Perry ameamua kumhakikishia kuwa atampa chake Miley watakapokutana jijini UK.
Haya...
Justin Bieber tangu mwaka jana amekuwa akifuatwa na visanga na kuingizwa korokoroni mara kwa mara. Staa huyu mwenye albamu ya Journal ameweza kupigwa picha na polisi kutoka Miami Police Department na picha hizo zimetolewa kwa umma waziangalie.
Ok round hii Bieber hakuwa na chake kwani polisi...
Haijapita wiki vizuri kabla rais Museveni wa Uganda kupitisha mswada wa kuwafunga mashoga wote wataopatikana, mtoto wake Diana Kamuntu amejitokeza hadharani na kudai kuwa yeye ni mtu mwenye jinsia ya utata. Kupitia mahojiano ya redio mjini Mbarara, Diana alikiri kuwa yeye ana jinsia utata...
Mwanadada aliyejichubua ngozi kutoka nchi Camoroon aliingia kwa mtandao wake na kumpa makavu live mwanadada Lupita Nyong'o.
Lupita Nyong'o ameweza kumulikwa na vyombo vya habari na amependeza sana hasa kwa ngozi yake nyeusi asilia ya kiafrika....jambo ambalo halikumpendeza staa wa Cameroon...
Kwa muda tumekuwa tukingojea kufahamu siku ya wawili hao wataweza kuoana lini. Na kama tulivyotarajia, wawili hawa hawakuiweka mbaliiii...
Wawili hawa watafishana pete jijini Paris kama vile uvumi ulivyokuwa ukienea,
Wahudhuria pia hawatakuwa wengi sana, watu 150 pekee.
Halafu siku yenyewe...
Mkasa wa Ostaz Juma na PNC linaweza kutajwa kuwa moja kati ya matukio yaliyozungumzwa zaidi kwa wiki iliyopitwa kupitia mitandao ya kijamii na baadae kuwa topic kwenye radio na television wiki iliyopita.
Ingawa wasanii wengi walilaani kitendo hicho, rapper wa Manzese, Nay wa Mitego yeye...
50 Cent amechukizwa na mahasimu wake wa ngoma za rap na kuamua kufichua mambo yanayoendelea kwa baadhi ya mastaa watajika.
Kwa kupitia mtandao wake wa Instagram, staa huyu aliweka picha inayowaonyesha Rick Ross, P Diddy na Steve Stout katika sura isiopendeza ya kuashiria mapenzi ya jinsia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.