- Tuwaambie wenetu kwamba sisi hatukutokana na nyani, tumeumbwa na Mwenyezi Mungu.
- Tuwaambie tulikua na dini zetu za asili, Mungu aliabudiwa kwa sura mbalimbali, za n’gombe, punda, majoka n.k na sala zilijibiwa na Mungu huyu huyu.
- Tuwaambie Ukweli kwamba Africa ndiko asili ya elimu...
Ukweli voda wezi... Nataka kuwashitaki ndo nipo nakusanya ushaidi... Simu yangu inaonesha matumizi yangu..haiwezekani GB 1.5 siku mbili na wakati naitumia muda wa jioni nikirudi tena ni wasap tu na jf tu imeishaje
Zaman dar dom saa 4..super champion alikua anaenda na kurudi..champion arusha dom saa 8 mchana acheni zile scania isee achana na mchina
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa taarifa yenu hii inshu walitaka waifanye kimya kimya isisikike ndio maana tukio lilitokea jmos cha kushangaza limetangazwa juma3..alieua ni DED sema wanataka kumlinda na kumpa uuaji askar poli..poor tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamvamia mtu akiwa kanisani ktk kijiji cha kitaraka na kumpiga risasi ya kichwa na kufa papo hapo.
Wananchi wamechachamaa wanamtaka mkurugenzi. RPC wa Singida kaja kupoza fujo...
Huyu DED apimwe akili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.