Wana jf kuna siku nilikuwa napata serengeti baridi nikiwa iringa na wanafunzi fulani wa vyuo vikuu vya iringa(wanaume) wakawa wanapeana vitisho kwamba mama salma kikwete kawamwaga wasichana karibu 500 wanaoishi na vvu katika vyuo vyote vya iringa yaani 1@500. Je kuna kaukweli kokote au ni...
Maana imefika sasa hata jumjua mwenye dowans ili alipwe inakuwa shida wkt kuna vyombo strong vya upelelezi na ujasusi lkn vinashindwa kutuambia nani ni mmiliki au aliyeiandikisha dowans ila kwenye malipo yanasisitizwa hata na mwanasheria mkuu kwamba lazima walipwe. Jamaniiiii katibaaaaaaa mpya...
IBARA YA 13(6)(c) ni marufuku kwa mtu kuadhibiwa kwa sababu ya kitendo chohote ambacho alipokitenda hakikuwa ni
kosa chini ya sheria, na pia kwamba ni marufuku kwa adhabu kutolewa ambayo ni kubwa kuliko adhabu
iliyokuwapo wakati kosa linalohusika lilipotendwa;
(d) kwa ajili ya kuhifadhi haki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.