Kuna vijana wazazi wao wana nafasi serikalini, wanaanzishiwa makampuni halafu wanakabidhiwa halmashauri wanapata tender bwerereeeeee ... halafu mitaani wanaona wenzao ni wazembe hawataki ku-invest. Ndo maana na sisitiza, vitabu vya kiyosaki havi apply sana kwetu kwasababu the system is not fair...
Inamaana wakati wa ajira yako ambayo uliiacha hukuwa na uwezo wa kutenga 1,000,000/- kwa mwezi kama akiba ili ujenge sio? Sasa kama mwenzio ana take home ambayo inamwezesha kuweka akiba ya 1,000,000/- baada ya matumizi yake ya kawaida, kuna ubaya gani akianza kujenga?
Tena akimaliza kujenga...
Mkuu, hii copy and paste kutoka rich dady poor dady ya robert kiyosaki itakufikisha kubaya. Inaamaana hawa wenye nyumba sinza tunakopanga kwao ni liability? Acha utani bana.
Hata kama nyumba yangu sijapangisha ninaishi mwenyewe, nisingekua nayo si ningekua ninatumia pesa ku rent nyumba...
1. Kuruhusu kura ya wazi na ya siri kwa wakakati mmoja ndo namna ya kumaliza mvutano? Vipi mvutano wa aina ya muungano, turuhusu serikali tatu na mbili kwa wakati mmoja ili kumaliza mvutano? Hebu jaribu kufikiri vzr zaidi!
2. Ni kweli katiba haina hisia na wala sio mtu lkn mtu anaeunga mkono...
(iv)Tunampa onyo kali katibu mkuu Dkt. Slaa kuwa asithubutu kukanyaga SINGIDA ikiwa bado hajayafanyia kazi maelekezo yetiu hapo juu, kuzunguka kwake mikoani baada ya kumvua vyeo zitto ni kwenda kuthibitisha kuwa amefanya makusudi mpango wake huo.
Naona kuna shida mbili hapa:
1. Huyu...
Hivi ikitokea CAG hajapeleka wakaguzi kukagua halmashauri au shirika la uma fulani, ni halmashauri au shirika litalaumiwa kweli? Hivi kwanini hatutaki kutumia akili zetu vizuri? Au labda naomba mtu aweke ushahidi hapa ni chama gani kilikataa auditors kutoka kwa CAG kuingia na kukagua hesabu zao
NUT, KITASA, ....
tiririka mkuu na vingine vyote. Ndo elimu gani hiyo? Hata kuendesha gari kwa reverse tairi inazunguka kutoka kulia kwenda kushoto ... ha ha ha ha haaa
Kwa kipindi kirefu sasa kumekua na kashfa mbalimbali ambazo zimelikumba Baraza la Mitihani la Tanzania. Kupitia vyombo vya habari tumesoma taarifa ya wizi/upotevu wav yeti na hata results slip ndani ya majengo ya taasisi hiyo. Pia tumeshuhudia uvujaji mkubwa sana wa mitihani ulio husisha taasisi...
Mkuu ukisoma vitabu vya Robert T. Kiyosaki uvisome kwa umakini kidogo maana kuna contents ambazo zina apply kwao tu. Mfano anaposema Nyumba USA sio assert, utasema na Tanzania nyumba sio assert? Ukumbuke kule kwao bei za nyumba zina flactuate lakini hapa kwetu zina appreciate kila kukicha.
Haya...
MKuu kama nime elewa vizuri ni kwamba utaratibu wa kusahihisha umekua computerized. Sio rahisi computer kusoma maelezo na kweza ku-mark.
Watahiniwa wa darasa la saba ni wengi kiasi cha kufanya zoezi la usahihishaji kuwa gumu na kuchukua muda mrefu. Na huu ni utaratibu unaotumika nchi nyingi...
Karibu ungepatia, jibu sahihi ni:
11,000 = Kumi na moja elfu
10,001 = Kumi elfu na moja
Nimeipenda hii chemsha bongo maana inasaidia kutosoma up.pu mwingineo huku ...
MKuu nashindwa kabisa kukuelewa ... japokua hakutaja TBC kumbe wewe una uhakika kwamba TBC inaibeba CCM? Sasa hata kama angetaja TBC, wewe una utetezi gani kwa TBC? Mkuu hebu tiririka vizuri nikuelewe!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.