Shida ni kwamba hao wafanyabiashara ni mawakala pia, mawakala wengi sikuhizi wanakuwa na biashara nyingine so inakuwa ngumu kuzitenganisha. Halafu kumbuka wateja ndio wanachochea mawakala kutafuta line za Lipa, maana kwa sasa wateja wengi wamehamia huko, wakala ukiwa hauna line ya lipa utakuwa...
Kudadeki; mimi nina line ya lipa leo nimetoa laki 495,000/= kwa Wakala wamenichinja 3500 ambapo awali ilikuwa ni free kutoa mara1 kwa siku, hizi Lipa Namba sasa ni rasmi zimekosa maana
https://youtu.be/txVBHF_kjhk?si=whyhDUs-5SsR0fj-
Hilo dude lilisukwa buana, sikiliza beat ya Dunga, Sikiliza chorus ya mwanadada Mercy Myra, halafu unganisha na flow nzuri kwenye beat kutoka kwa Noorah aisee, hivi vitu adimu tutaendelea kuvimiss sana...
Mkuu inamaana umeshindwa kabisa kuusoma upepo wa wateja ulipo kwa sasa? Ukweli ni kwamba kwa upepo wa sasa ni ngumu sana kutoboa kupitia Blog, ukiwaona watu kama Millard Ayo/Mange/Global Publishers, nk ambao ni mablogger nguli wameamua kuwekeza nguvu Instagram na YouTube stuka hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.