Pugu boyz bwana,kuoga ilikua kazi hadi usikie unanata,kuwa kiranja wa ulinzi hadi uwe unabeba nondo ili uwashikishe adabu wezi,TV ya shule ipo ila cku Nampanda akiunganisha anachukua kingilio mlangoni. Ukiongea na headmaster enzi hizo Shelimo kaa mbali nae coz ana makofi ya kushitukiza ni balaa.
Mimi ni mkazi wa mbezi kwa yusuf,nilichosikia hapa mtaani ni kwamba katika purukushani hizo kuna mwanafunzi alipigwa risasi ya kifuani na akapakiwa kwenye defender la polisi na kukimbizwa mjini,ss tarifa ambayo sina ni cofirmation ya hali ya huyo mwanafunzi bt from what i knw huwezi ukapigwa...
Hayo aliyoongea ni ukweli mtupu coz mm nilisoma pale form five pcm nilivyoona mambo hayaeleweki nikahama. Bujugo anaweza akakuta wanafunzi wanasoma akawatoa darasani kwa lazima wakacheze muziki na wanafunzi wanafurahia tu.
Kwa wale PUGU BOYZ wanakumbuka sana kwenda pondi na foleni za mihogo kwa mama pendo(RIP),bila kusahau watu tulivyokuwa tunakata weeks bila kuoga coz shule haina maji...mvua ikinyesha ndo kila mtu anavua nguo akaoge kwenye mvua.
Nafikiri wewe ndo hujui maana ya university coz kua independent thinker haimaanishi usitume mda mwingi darasani,after all who told you kuwa university students ndo hawatumii mda mwingi darasani.
nina rafiki yangu yupo st joseph ananiambia kuwa wao vipindi vinaanza saa mbili asubuhi hadi saa kumi na moja jioni with just short kols and one hour lunch break every weekday na darasani wanaitwa majina(attendance) ukiwa below 85% then u r nt eligible kufanya end of semester exams,lecturer...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.